Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
Wakuu, nimeona barua mitaandaoni ikionesha kuwa imeandikwa na Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar, ninatafuta ukweli wa hiyo barua anayefahamu anijuze ili nicheke kidogo maaana Mimi sikusoma sheria ila kuna vitu huvihitaji kusomea mfano Kama hiyo barua ni ya ukweli basi kuna watu ndani Ya Jeshi la polisi wanaomuuunga mkono Tundu Lissu au Jeshi la Polisi linasimamia sheria wasioijua.
Wakuu popote pale dDuniani huwezi andika barua ya wito ukamwandikia mtu ambae haumuhitaji kwenye hilo kosa, mfano ukimwandikia Baba yangu barua kunihitaji Mimi, hiyo barua inakosa mashiko ya kisheria, wito haupitii kwa mtu mwingne, Kama unamhitaji lisu barua ya wito inaandikwa kwa lisu sio Kwa bosi wake, kwa hiyo polisi ikimuhitaji Mtumishi wa serikali inapeleka barua kwa boss wake?
Hao mliowakamata walioko Gerezani barua za wito mlipeleka kwa maboss wake? Mlipowaita akina Kangi na wale Makatibu Wakuu, mlipeleka barua kwa boss wao ambae ni Magufuli?
Swala lingne la pili nimeona barua imeandikwa na kanda Maalum ya Dar, kabla ya barua Mkuu wa Polisi alisema kuwa Lissu amefanya makosa Moshi, sasa huyo wa Kanda Maaalum anamamlaka hadi Moshi? Hivi nyie Polisi mbona mnatia aibu kiasi hiki?
Yaani sheria mliyotunga nyie wenyewe ambayo hata Mtoto wa Darasa la Kwanzaa anaijua mnajifanya kuivunja na kusema kuwa mnataka kumuhoji mtu aleivunja sheria wakati wewe unavunja sheria, uliona wapi Kanda Maalum ya Tarime ikamwita mtu alietenda kosa Tabora? Hivi ni hwa nini wameshindwa hata kuficha aibu zao barua ioneshe kuwa imetoka Makao Makuu? Au ndio ile ile kuwa siku ya kufa Nyani miti yoote huteleza? Haya basi barua imesema chana kuna chana Tanzania?
Mimi ninawambia Lissu ndio rais wa sita hiz zooote ni mbwembwe tu.
Wakuu popote pale dDuniani huwezi andika barua ya wito ukamwandikia mtu ambae haumuhitaji kwenye hilo kosa, mfano ukimwandikia Baba yangu barua kunihitaji Mimi, hiyo barua inakosa mashiko ya kisheria, wito haupitii kwa mtu mwingne, Kama unamhitaji lisu barua ya wito inaandikwa kwa lisu sio Kwa bosi wake, kwa hiyo polisi ikimuhitaji Mtumishi wa serikali inapeleka barua kwa boss wake?
Hao mliowakamata walioko Gerezani barua za wito mlipeleka kwa maboss wake? Mlipowaita akina Kangi na wale Makatibu Wakuu, mlipeleka barua kwa boss wao ambae ni Magufuli?
Swala lingne la pili nimeona barua imeandikwa na kanda Maalum ya Dar, kabla ya barua Mkuu wa Polisi alisema kuwa Lissu amefanya makosa Moshi, sasa huyo wa Kanda Maaalum anamamlaka hadi Moshi? Hivi nyie Polisi mbona mnatia aibu kiasi hiki?
Yaani sheria mliyotunga nyie wenyewe ambayo hata Mtoto wa Darasa la Kwanzaa anaijua mnajifanya kuivunja na kusema kuwa mnataka kumuhoji mtu aleivunja sheria wakati wewe unavunja sheria, uliona wapi Kanda Maalum ya Tarime ikamwita mtu alietenda kosa Tabora? Hivi ni hwa nini wameshindwa hata kuficha aibu zao barua ioneshe kuwa imetoka Makao Makuu? Au ndio ile ile kuwa siku ya kufa Nyani miti yoote huteleza? Haya basi barua imesema chana kuna chana Tanzania?
Mimi ninawambia Lissu ndio rais wa sita hiz zooote ni mbwembwe tu.