Recent content by Joxee

  1. Joxee

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Asanten kwa mchango wenu wadau
  2. Joxee

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Mmi nitaka kuanza biashara ya kuchoma chips je inalipa na kama inalipa ni kwa mfumo au vigezo vipi?, pia kama hailipi naombeni mchanganuo na mawazo yenu wadau, lakini biashara hiyo nataka kuifanyia dar.
  3. Joxee

    Msaada kuhusu hizi biashara ambazo wenyewe wanaziita online donation

    Naombeni kujua au msaada kuhusu hizi biashara ambazo wenyewe wanaziita online donation je zna ukweli ndani yake au ni ujanja ujanja tu mfano oilframe, global alliance, na zingine nyingi??
  4. Joxee

    MWANZA: Watu 12 wafariki, Watatu waokolewa baada ya Hiace waliyokuwa wakisafiria kuzama Ziwa Victoria

    Mmi ni mmoja kati ya wakaz wa eneo hlo ipo hvi hlo gar huwaga linafanya safar zake kutoka hapo kivukon kwenda buhongwa pia linatoka buhongwa kurudi kivukon ssa klichotokea ni kwamba wakati gar hlo linatoka buhongwa kwenda kivukon aliendesha gar hlo alikua ni konda baada ya kufika kivukon hapo...
  5. Joxee

    Wakuu naomba kujua hili:

    Yes imejaa na nahitaji kuongeza mzigo
  6. Joxee

    Wakuu naomba kujua hili:

    Ninaomba msaada kwa yeyote anaefaham ukwel kuhusu hili je ni ukwel kuwa laptop ambazo ni refubric haiwez kuongezewa hard disk au kubadlishwa hiyo had disk? Cuz mmi nna hp envy ina ssd 32gb vpi siwez kubadili na kuweka ssd au hhd kubwa zaid?
  7. Joxee

    Wana JF naomba kujua :

    Je: Apple display (Monitor) inaweza ku-function kwenye CPU ya dell au hp?? Kwa yoyote anaejua naomba mawazo yenu.
Back
Top Bottom