Nyie walimu wa english mna tabu sana. Kosa dogo tu mnaanza kuwatoa watu akili, sipendi hii tabia ya dharau kama mtu kakosea na unataka kumrekebisha sawa, ila sio kumshusha thamani.
Tatizo sio Maji, tatizo bakora. Maticha wa Ifunda wanachapa kupita kiasi yaani kama wanachuki na wanafunzi vile.
Mie nilisoma hapo Advance nilimaliza 2012, yaani hao hawajui mkubwa wala mdogo, wa kike wala wa kiume wanachojali kupiga tu wakati mwingine hadi mateke wanatumia.
Juzi nilienda...
Apply upya chuo chochote, wala uspate tabu, hamna kutuma barua TCU wala nini. Fanya kama ndo umemaliza f6.
Na ushahidi kuna jamaa yetu amedisco Udsm mwaka huu ameapply last month, jana alivyoangalia kapata chuo na facult bora kuliko aliyokuwa anasoma Udsm...wala usiwe na shaka ndugu maneno ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.