Wadau Naombeni masaada napitia chamgamoto katika kufanya maombi ya kujiunga na mwaka Wa masomo 2018/19 nimefungua account vizuri hadi nikalipa pesa ya maombiTsh 10,000/_ kupitia vodacom na nikajuzwa malipo kupokelewa ,Sasa shida ni kwamba zile stages zote zinazofuata hazifunguki ,Ila ya mwisho...
Habari za kwebu, Nina shida katika Ms- excel 2017 Haifungui document ambayo ipo kwenye CD wala flash inaandika 'There was a problem sending the command to the program'
Jamani msaada wenu maana Mimi baada ya Ku_ upload naona kuna kiboma cha kijani wameandika mfano ni signature wameandika tu signature form is attached alafu naona preview na change .....hiyo ya ku- conferm siioni kabisa ....ambaye anaiona kwake hebu ascreenshoot iwe msaada na kwa ambao hatuioni...
Habarini za majukumu wapendwa nina BUDGET ya TSH milioni tatu nahitaji kufungua stationary naombeni kusaidiwa kwa budget hivyo nawza nunua vitu gani vya muhimu na nikafanya kazi.
Ahsanteni :A S-fire1:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.