Recent content by joshuan

  1. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Gavana wa Mombasa ni mkenya auwarabu?
  2. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Shirikiaho la soka hushirikiana na serikali katika kutekeleza project kubwa Kama hizo kote duniani ndio maana nimekuuliza ulitaka Mwendwa aka bid mwenyewe?
  3. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    "The government refused" uwanja ni wa gvt sio wa Mwendwa. Hivi huko kunya si mnalipia elimu Toka primary? Na mbona mnauziwa UJINGA?
  4. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sasa ulitaka rais wa fkf a bid bila backup ya serikari? Nikikuita tahira nitakua nawakosea sana matahira wa hapo Kenya you're waaay beyond utahira
  5. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tahira hivyo viwanja unavyo viona vikirekebishwa na vipya vikijengwa ni matokeo ya pamoja bid thanks to Mwendwa
  6. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nilikwambia wewe ni kasuku nadhani mpaka Sasa utakubaliana na Mimi 😂 Unachukia mtu kwasababu ya maoni ya washindani wake? Wewe huna maoni Yako?
  7. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    And how the new fed managed to get it back on track for less than six months 😂
  8. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tahira sio kila nilote ni luo
  9. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Punguza ukasuki mbwa wewe, how Mwendwa killed the already dead league?
  10. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    World champion kwenye irrelevant game😭😭 Imagine mnapewa kombe na hakuna hata shabiki uwanjani🚮
  11. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nakwambia hivi hio fed unayosema ilidumaza soka lenu ndio imeleta mapinduzi ya soka unayo yaona Leo. Hii fed ya Sasa Haijafanya kitu tofauti na kuleta kocha.
  12. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Last federation ndio ilokuja na Azam deal, ambayo ilifufua soka kwa kuweka hela kwenye timu ili ziweze kujiendesha alafu wakaja na Pamoja bid ikarekebisha viwanja na kujenga vingine vipya io fed mpya hakuna ilichofanya zaidi ya kuleta kocha
  13. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mbali na ushamba, wewe ni limbukeni pia😂😂 tuambie ni wakenya wangapi wanatumia smart TV kiasi cha kufanya biashara ya satellite dish ife hapo kijijini kwenu
  14. joshuan

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    😭😭
Back
Top Bottom