Naongezea pia, usimfatilie mumeo hata kama una ndoa na yeye, usifatilie nyendo zake, kazi yako kubwa ni kumuombea kwa Mungu akupende na kukuthamini muda wote.
Nina mzee wangu ana miaka 70 saii huwezi amini ameenda kununua shamba Marangu anataka kujenga nyumba mpya maeneo hayo, nikajiuliza sana sababu ya hilo jambo sikupata majibu mpaka sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.