Nina wasiwasi yawezekana madam president hakujua tafsiri sahihi ya neno sanctions
Kwasababu kama angekuwa anajua asingeendelea kulitumia neno like lile wakat amesema anataka azungumze kwa lugha yake ya taifa ili kila mtu aelewe
Nilikuwa na rafiki yangu mzuri ambaye tulifahamiana ofisini lakini baadaye alikuja kuhama pale ofisini sasa yapata miaka 8 hatuko pamoja
Lakini wakat huo wote tuliendelea kuwasiliana na kusaidiana katka changamoto mbalimbali za kimaisha
Kilichonishtua ni kuwa mwaka Jana alinipigia simu...
Unataka kumponza mwenzio kama wale wa cwt hakina maganga sahv wapo rupango wakisubiri kusomewa kesi yao ya matumizi mabaya ya ofc na utakatishaji fedha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.