Pole sana kwa changamoto hyo
Ila cha kukushauri nenda facebook kuna ukurasa unaitwa crubTz kule ndo wafanya kazi hii ya kuunganisha familia zilipotezana kwa muda mrefu
Yan ndani ya muda mfupi tangazo lako likipandishwa tu mtu wako atapatikana awe hai au la
Mbona mfumo wa ajira portal uko wazi kbc
Wewe ndo utakuwa ulikosea kwasababu ikiwa umejaza cheti cha shahada hautaweza kuomba nafasi ya astashahada wewe utaendelea kusubiri nafasi za shahada tu
Wazee wa zamani wakianza kupiga story utasikia wanasema enzi zetu maisha yalikuwa rahisi au mazuri
Ila ukweli ni kwamba wazee wanaosema hivyo ni wahongo hawana tofauti na motivational speaker wa kileo
Kwanini nasema ni wahongo leo nilikuwa nimeketi nikawa na playlist ifuatayo
1: less wanyika...
Dada yangu alipoteza akili zake baada ya kuingia kwenye mahusiano na mwanaume X
Nasema hivi kwasababu kabla ya hapo alikuwa vizuri , alikuwa akipangilia mshahara wake kutimiza malengo yake kama kuanzisha biashara, kujenga nk
Lakini punde si punde akapata mwanaume X wakapendana kwa kadri...
Kwa miaka kadhaa tangu nijiunge na Jukwaa hili sijawahi kukutana na mtu kwenye jamii yangu anayetumia Jukwaa hili
Kiufupi hawajuhi kama Tanzania tuna social media yetu inayofanya kazi kama zilivyo Instagram au Facebook
Sasa kwanini uongozi usianzishe mchakato wa kupeleka Jukwaa hili kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.