Recent content by Joshua Mbezi

  1. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Namtafuta baba yangu Gervas Kalilo

    Pole sana kwa changamoto hyo Ila cha kukushauri nenda facebook kuna ukurasa unaitwa crubTz kule ndo wafanya kazi hii ya kuunganisha familia zilipotezana kwa muda mrefu Yan ndani ya muda mfupi tangazo lako likipandishwa tu mtu wako atapatikana awe hai au la
  2. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko ya Walimu wenye astashahada na baadaye kusoma Shahada kuambiwa ni Overqualified

    Mbona mfumo wa ajira portal uko wazi kbc Wewe ndo utakuwa ulikosea kwasababu ikiwa umejaza cheti cha shahada hautaweza kuomba nafasi ya astashahada wewe utaendelea kusubiri nafasi za shahada tu
  3. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Hivi Ni Lini Maisha Yaliwahi Kuwa Rahisi?🤔

    Hv hyo Tuma ndo alienda masomoni Japan akaishia kuchakatwa mbususu na mjapan 😂😂
  4. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Hivi Ni Lini Maisha Yaliwahi Kuwa Rahisi?🤔

    Wazee wa zamani wakianza kupiga story utasikia wanasema enzi zetu maisha yalikuwa rahisi au mazuri Ila ukweli ni kwamba wazee wanaosema hivyo ni wahongo hawana tofauti na motivational speaker wa kileo Kwanini nasema ni wahongo leo nilikuwa nimeketi nikawa na playlist ifuatayo 1: less wanyika...
  5. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Je nikifanya hivyo taarifa zangu hazipotei?
  6. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Hivi Wanawake Mkizama Penzini Akili Huwa Mnaziweka Wapi?

    Nielekeze huo uchawi na me kuna mtu nikamshughulikie
  7. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Hivi Wanawake Mkizama Penzini Akili Huwa Mnaziweka Wapi?

    Dah hatari sana na wale matapeli wa injili nao wanapita kwenye uchochoro huu
  8. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Hivi Wanawake Mkizama Penzini Akili Huwa Mnaziweka Wapi?

    Dada yangu alipoteza akili zake baada ya kuingia kwenye mahusiano na mwanaume X Nasema hivi kwasababu kabla ya hapo alikuwa vizuri , alikuwa akipangilia mshahara wake kutimiza malengo yake kama kuanzisha biashara, kujenga nk Lakini punde si punde akapata mwanaume X wakapendana kwa kadri...
  9. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Me mbona nimeenda dukani nikakutana na ya zamani 🙄 Naambiwa hyo mpya wao hawaijuh
  10. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Babati kila MWANAMKE ni mzuri ndugu zangu njooni muoe huku

    Umeona uje Jf kuwapigia dada zako kampen ee
  11. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Nataman Uongozi Wa Hili Jukwaa Mfanyie Kazi Wazo Hili;

    Kwa miaka kadhaa tangu nijiunge na Jukwaa hili sijawahi kukutana na mtu kwenye jamii yangu anayetumia Jukwaa hili Kiufupi hawajuhi kama Tanzania tuna social media yetu inayofanya kazi kama zilivyo Instagram au Facebook Sasa kwanini uongozi usianzishe mchakato wa kupeleka Jukwaa hili kwa...
  12. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa LATRA; Safari ndefu zinahitaji kuwa na madereva wawili

    Sidhan kama italeta matunda je ikitokea hyo aliyekabidhiwa gari akapata dharula ya kiafya katikati ya safari Nan ataokoa jahazi? Mimi nimewahi kusafiri na gari tumetoka vzr mbeya Ile tumeanza kuitafuta mafinga dereva akaanza kutapika yupo kwenye usukan ndipo ikalazmika mwenzake apokee usukan...
  13. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Mshahara Laki Saba Unajifanya Hunitambui Ofisini? Baba Omary Siku Yako Inakuja

    Alishawahi kuja kuomba hifadhi kwako?
  14. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA TANESCO, naomba kujua utofauti wa bei za unit za umeme inasababishwa na nini?

    Naomba kufahamu je Kuna kifaa kinachowezesha wateja kutumia meter Moja lakini kila mmoja akanunua umeme kivyake?
  15. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Msaada unahitajika wa haraka, njia nzuri ya kufika shule ya sekondari Kalya iliyopo wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma

    Aende halmashauri akikamilisha taratibu za miktaba atafuatwa na Mkuu wake wa shule
Back
Top Bottom