Recent content by Joshua Mbezi

  1. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Kyela: Boniface Jackob avunja rekodi ya Dkt Slaa na Lowassa, Mkutano wake wasababisha wananchi kukanyagana ili kugombea nafasi, hakuna aliyekufa

    Ila we jamaa 😂😂 kwann Cdm wasikupe uenezi ili ukamenyane na yule kihongosi?
  2. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Waganga wa Kinyeji Simiyu tumechoka na michango ya Mwenge.

    Lipen hela nyie mbona huwa mnatulazmisha tuwaletee kuku na hatulalamiki
  3. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Waziri Wa Mambo ya Nje Ya Tanzania: Ziara Ya Rais Samia Urussi Imeleta Mtikisiko Wa Dunia. Haijapata Kutokea

    Akili za kombo na mwashambwa hazina tofauti au ndg yako?
  4. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Waziri Wa Mambo ya Nje Ya Tanzania: Ziara Ya Rais Samia Urussi Imeleta Mtikisiko Wa Dunia. Haijapata Kutokea

    Akili za kombo na mwashambwa hazina tofauti au ndg yako?
  5. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Tanzura Kabla ya Next World Cup kuna ubwabwa

    Na hili jua linavyowaka bado mnataka nihangaike kufungua code ngumu kama hzi Mbona Amna huruma wananzengo
  6. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Nani ndo GOAT wa Rhumba?

    Kwenye rhumba namuelewa sana Madilu System kuliko hao wote uliowataja
  7. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Ata hicho Cha morogoro si walipewa tu na Rais mkapa wao hawajahi kujenga chuo chochote zaid ya madrasa na kugombania tende
  8. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria. Nilivamiwa, nikajeruhi

    Hapo ulitakiwa ufungue kesi ya wizi na kuvamiwa
  9. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Nina wasiwasi yawezekana madam president hakujua tafsiri sahihi ya neno sanctions Kwasababu kama angekuwa anajua asingeendelea kulitumia neno like lile wakat amesema anataka azungumze kwa lugha yake ya taifa ili kila mtu aelewe
  10. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Nimegundua rafiki yangu kawa chawa wa kiwango wa Airport

    Nilikuwa na rafiki yangu mzuri ambaye tulifahamiana ofisini lakini baadaye alikuja kuhama pale ofisini sasa yapata miaka 8 hatuko pamoja Lakini wakat huo wote tuliendelea kuwasiliana na kusaidiana katka changamoto mbalimbali za kimaisha Kilichonishtua ni kuwa mwaka Jana alinipigia simu...
  11. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania EWURA tupeni bei za mafuta tulale kwa Amani!

    Kesho lita itakuwa 5200
  12. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Ummy Mwalimu ateuliwa kuwa Mshauri wa Rais Samia kwa masuala ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto

    Hii serikali yawezekana ikaja kuongoza kwa kuwa na vyeo vya shukran zaidi ambavyo ata havijulkan mwanzo na mwisho wake
  13. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Ummy Mwalimu ateuliwa kuwa Mshauri wa Rais Samia kwa masuala ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto

    Unataka kumponza mwenzio kama wale wa cwt hakina maganga sahv wapo rupango wakisubiri kusomewa kesi yao ya matumizi mabaya ya ofc na utakatishaji fedha
  14. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Awamu ya 6 na Jiji la Dar - barabara kwishney!

    Alisema kulen kulingana na urefu wa kamba zenu ili mradi msivimbiwe
Back
Top Bottom