TUNAKATAA UHUNI NA UBABAISHAJI KWENYE INTERVIEW.
Mwalimu hawezi kufanana level of thinking na kada zingine. Hao uliowataja #Sociology #HR # n.k hawawezi kufanana na mwalimu level of thinking kwani mwalimu yupo juu yao.
Mwalimu anafuta ujinga ndio hao wanapatikana wa kada zingine sasa iweje...
Majira ya saa 10 jioni ya tarehe 09.12.2024 nimepokea ujumbe huu 1 na 2 (chini) kutoka mtandao wa Halotel Tanzania 🇹🇿 kuwa nimejiunga na huduma ya #AfyaCheck ambayo siijui na wala sijawahi kuisikia. Na mbaya zaidi wanasema huduma ile siku ya kwanza BURE baada ya hapo makato yanaanza ya 200Tshs...
Nchi ngumu hii.
Sitetei huu ujinga wa mwalimu. Nchi yetu kesi za dagaa unaangushia adhabu ya kubeba jiwe la tani 5 lakini kesi ya nyangumi adhabu zao ni barua tu. Huna kazi kaa pembeni hatimae nywiiii. Hakuna kinachoendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.