Recent content by josephbnd

  1. josephbnd

    PreGE2025 Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira (NETO) aachiwa kwa dhamana kwa shtaka la kujihusisisha na jumuiya isiyo na usajili

    TUNAKATAA UHUNI NA UBABAISHAJI KWENYE INTERVIEW. Mwalimu hawezi kufanana level of thinking na kada zingine. Hao uliowataja #Sociology #HR # n.k hawawezi kufanana na mwalimu level of thinking kwani mwalimu yupo juu yao. Mwalimu anafuta ujinga ndio hao wanapatikana wa kada zingine sasa iweje...
  2. josephbnd

    Nimepokea ujumbe kutoka Halotel kuwa nimejiunga na huduma ya AfyaCheck ambayo siijui na wala sijawahi kuisikia

    Majira ya saa 10 jioni ya tarehe 09.12.2024 nimepokea ujumbe huu 1 na 2 (chini) kutoka mtandao wa Halotel Tanzania 🇹🇿 kuwa nimejiunga na huduma ya #AfyaCheck ambayo siijui na wala sijawahi kuisikia. Na mbaya zaidi wanasema huduma ile siku ya kwanza BURE baada ya hapo makato yanaanza ya 200Tshs...
  3. josephbnd

    PreGE2025 Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

    Siasa the swaga don😊😊😊🇹🇿
  4. josephbnd

    Bukoba: Mwalimu atakiwa kurejesha Mshahara aliolipwa kwa kufanya Udanganyifu kwa Mwajiri

    Nchi ngumu hii. Sitetei huu ujinga wa mwalimu. Nchi yetu kesi za dagaa unaangushia adhabu ya kubeba jiwe la tani 5 lakini kesi ya nyangumi adhabu zao ni barua tu. Huna kazi kaa pembeni hatimae nywiiii. Hakuna kinachoendelea.
  5. josephbnd

    Je, unafahamu uliishajiua wewe mwenyewe kiroho na kimwili?

    Masikini Ibrahim baba wa watu si alikuwa na soul tie zaidi ya wanawake 1k.
  6. josephbnd

    Hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja kimwili

    Ukachomwe moto kwa vimichepuko vitano ndugu yangu, tutakuheshimu ukiwa na 20😂😂
Back
Top Bottom