Recent content by josephatmush

  1. josephatmush

    Nina mpango wa kufungua shule ya chekechea na Primary. Naombeni mawazo tafadhali

    This is Great news kabisa... Vipi kuhusu Durability ya Majengo ya interlocking blocks vs majengo ya Block, na Je kwa nin watu wanapenda kutumia Blocks kuliko interlocking wakat ni cut cost, samahan mkuu niko curious sana🤭🤭
  2. josephatmush

    Nina mpango wa kufungua shule ya chekechea na Primary. Naombeni mawazo tafadhali

    Tofauti ya Gharama ya ujenzi wa interlock na block ikoje?!
  3. josephatmush

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Habarini wakuu, napenda kujifunza juu ya Machine za Unga za Tanzania na zile za China zinatofautiana nin?! Ubora wake ukoje!kama mtu anaanza biashara hii ya kutengeneza Unga utamshauri aanze na machine zipi!? Ukizingatia lengo ni kiwanda kidogo lakin kinachozingatia ubora wa hali ya juu! Kuuza...
  4. josephatmush

    Kwa wale mnaopenda 'Mambo ya Mombasa', tahadhari sana!

    Hahahaa Shekheeee umezinguaa
Back
Top Bottom