Recent content by josephat manyenye

  1. josephat manyenye

    Bashe awataka wabunge kutopitisha bajeti ya Wizara ya Kilimo

    Nakumbuka siku wabunge wanapitisha bajeti ya serikali ya 2017/2018 kulikuwa na mbwembwe za ajabu sana,, lakini kiuharisia bajeti ilijaa matumaini kuliko matarajio halisi,, na ndiyo maana leo hakuna wizara inayoweza kujinasibu kuwa kati ya pesa ilizokuwa imeomba zote ilipewa haipo wizara zote...
  2. josephat manyenye

    Kuna Mbunge ambaye tangu atenguliwe Uwaziri amekuwa mkosoaji mzuri sana. Anahoji fedha zimekwenda wapi?

    Barabara na ndege bila kuboresha maisha ya watu ni sawa na bure,,, shilatu fikilia kidogo tu kuhusu bei ya pamba iliyotangazwa na serikali alafu weka uwiano wa bei hiyo na mfumko wa bei za bidhaa za viwandani,, je mkulima hapa anatoboaje?? Mimi ninaamini kwa kuwa sasa hivi uko ndani ya mfumo...
  3. josephat manyenye

    Zitto: Ziara ya Rais Magufuli bandarini haikuwa na jipya, amefanya kazi iliyotakiwa kufanywa na Afisa wa TRA

    Wajinga ndio waliwao kweli lakini naamini anachokitetea Zitto hata wewe pia kinakuhusu,, kisipokuhusu wewe kitawahusu wajomba na shangazi zako huko kijijini,, na ninaamini nafsi yako ni shahidi muhimu sana katika hili.
  4. josephat manyenye

    POLISI: Marufuku kukohoa pale unapopishana na mwanamke mwenye makalio makubwa, hilo ni shambulio la aibu tutakukamata

    Kama ndivyo ilivyo,, basi mimi leo nitalala gerezani maana tayari nimeshakohoa mbele ya mrembo mmoja.
  5. josephat manyenye

    Zitto: Ziara ya Rais Magufuli bandarini haikuwa na jipya, amefanya kazi iliyotakiwa kufanywa na Afisa wa TRA

    Ukweli Zitto katika kipindi hiki umeamua kuwa mpinzani sahihi katika nchini hii,, Mungu akulinde akupiganie na watu wasiojulikana.
  6. josephat manyenye

    Mwanza: Faini ya 300,000 kutozwa kwa wafugaji watakaopitisha mifugo barabara kuu

    Huko MISUNGWI mkurugenzi anataka ng'ombe waote mbawa?? Au anataka kuwafirisi wafugaji?? Hiyo faini ni bora kuwaachia ng'ombe.
  7. josephat manyenye

    Tanzania: Mihimili mitatu ya Dola na mwingiliano unaokanganya

    Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania linayomamlaka ya kumuondoa rais madarakani na uchaguzi mwingine ukaitishwa.
  8. josephat manyenye

    Tanzania: Mihimili mitatu ya Dola na mwingiliano unaokanganya

    Soma katiba ya nchi vizuri ili uelewe,,mamlaka ya bunge kwa rais na mamlaka ya rais kwa bunge,, rais hawezi kuvunja bunge alafu akaendelea kuwa rais wa nchi.
  9. josephat manyenye

    Selasini: Jeshi la Polisi linaharibiwa na Wanasiasa

    Kweli kabisa, polisi imehalibiwa na ccm.
Back
Top Bottom