Mgombea urais wa marekani hawezi kukimbia midahalo ya marekani kwenda kuongelea aljazeera akategemea kupata kura,Marekani. Ktk nchi hii ndio nashangaa wazo kama hili linatolewa. naanza kuamini sasa mgombea wa ukawa ni msanii na kuna hatari ya kushabikia mtu laghai sana.
dhambi yote anabeba Mbowe ambaye ni mungu wa chadema kila atakachosema ni sahihi. abajua hali lakini anafanya exploitation kutokana tu na tamaa ya. mgombea.
inawezekana watanzania mpaka sasa hatujui rais bora ni yupi. kipaji cha kuongea watu wakafurahi bila utelezaji si sifa za raus. kuwa mtu wa watu na kuchagua washikaji ni udhaifu mkubwa. utafuta fundi kujenga nyumba yako akakupa maelezo mazuri kila aiku lakini nyumba haijengwi si fundi mzuri...
qualities za urais hazipimwi kwa viwango vya wanadamu. mungu anamtaka atakayeiondoa nchi kwenye ufukara. kwani wenye qualities wamewafikisha wapi mpaka sasa? hayi mashindano ya urembo Hapa kazi tu!
usiendelee kulalamika na wewe kama uliowataja. msimu wa mabadiliko umefika na mungu mwenyewe analisimamia hili. msimu wa watanzania kuitwa masikini na kudharauliwa mataifa ya kigeni umepita. taifa hili linalwenda kuwa taifa tajiri na litalalovutia watu wa mataifa mengine.
kati ya CCM na Mungu nani mkubwa? bila kujali rais ajaye anatoka chama kipi, mungu akitaka mabadiliko kwa watanzania lazima yatokee. Mungu hateui rais,mtarajiwa kwa kuiogopa ccm. yule unayefikiri hafai tangu sasa nakuhakikishia ndiye mungu aliyemchagua. Achana na tabiri za manabii na mitume...
mimi sina chama ila kwa viwango vidogo vya kufikiri vya wafuasi wa ukawa bora tuendelee na CCM. Nasikia kuna unabii kuwa Lowassa ndiye raisi ajaye. Mimi nakuhakikishia Mungu wa kweli hayuko upande wa Lowassa. Mungu yuko upande wa Mafufuli. Mungu siku zote chaguo lake linatizamwa kama dhaifu...
tufike mahali tuwaambie wanasiasa waache kutudanganya. bahati mbaya watanzania wenyewe wanapenda kudanganywa. mgombea fisadi,wafadhilj wakuu mafisadi, sera za uongo lakinj ndio wanavitaka. kama kichwa cha mwenda wazimu vile.
Lowassa amebeba roho ya anguko, lazima ataanguka JPM ndie atakayeshinda hii ni kwa mujibu wa Mungu muumbaji sio mungu wa TB joshua,gwajima na mungu wa freemason. Mungu hasahihishwi.
jimbo lake,la ubunge vipi? masai wana ajira za kulinda mijini. kwani alishindwa kujenga vyuo vya ufundi? monduli sioni kama imepiga hatua kubwa kimaendeleo kipindi chake cha ubunge. maajabu yapi atayafanya kitaifa? jaribuni kuwa na upeo, maendeleo yanaletwa na watu wenyewe, hskuna mtu...
duniani kuna miungu mingi. JK tuliambiwa ni chaguo la mungu na lowassa halikadhalika. Kuna tofauti ya mungu wanaye mtaja na Mungu aliye juu ya yote, vyote na wote, Mungu Muumbaji wa mbungu na nchi.
lowassa hakuwa madarakani lakini ametajwa sana kwenye ufisadi hadi amekuwa maarufu. Kutajwa kwa sifa nzuri kama mandela au sifa mbaya kama wena sepetu zote zibakupa umaarufu.labda nikuulize ulikuwa unaishi nchi gani wakati richmond ikutajwa na vyimbo vya habari? Eashabiki ea ukawa mbona mna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.