Kuna mtu alianza na laki 5 Leo hii tunapozumza ana maduka makubwa mawili za spea part za pikipiki, amejenga mji ana usafiri magari mawili,kwhy 10m-15m Kama hana ina masaa asifanye biashara iyo, aanze na kiasi hicho alichonacho cha msingi aanzie na vitu vidogo vinavyoaribikaga mara kw mara, kiasi...
Ndugu uko vizuri yaani umemuelesha vzr Sana tena kisomi, asilimia kubwa watanzania tumeelekeza jitihada zetu kuuza bidhaa badala ya kuzalisha bidhaa, hongera sana nmekusoma sana, na ndo mipango yngu nilipanga kufanya ivo utekelezaji ndo upo njiani
Kumbe nachati na mtu anaeishi kw dadake, usijifanye kuw ww ndo unajua kila kitu, ujui niko wapi na nafanya nn? Kwhy kama ww umeshindwa usilazimishe fikra zetu zifanane
Siyo lazima afanye kilimo ndg vitu vya kufanya vipo vingi ukiwa na mtaji siyo lazima kilimo kama hailipi, tatizo baadhi ya wafanyabiashara hawabadiliki.
Mfanyakazi yupi, halfu mnawachukulia wafanyakazi ni watu wanaofanya kitu kw kukurupuka hawafanyi utafiti, au haijawakuta ndo maana, watu wanafungua biashara za milioni 8 mpk 10 lkn hao wanaowaweka ndo wanaowafirisi. Biashara inapoanza inakuw na changamoto lkn changamoto hizo uzipate ww ili uwe...
Kumbuka watu wanatofautiana kifikra ndg,halfu kwenye biashara kuna ubunifu, kw kauli yko iyo tusingekuw na wafanyabiashara maanake wangeshafunga maduka yao,tz wanaoitaji huduma wko wengi lkn watoa huduma wko wachache
Hao wa kijijini wanatorokaga mjini hapa, juzi moja katoroka tena katolewa kijijini uko, hao watakupa hasara mpk ndoto yko itaishia hapo, cha msingi kama una uwezo wa kufanya nenda ukafanye nenda ukalee biashara yko ikiw kidogo uikuze iwe kubwa.
Uko kwenye game iyo lkn ujajitambua, ndo maana hata mtu akija kuanza Leo anakuacha nyuma kwsbb unaifanya kw mazoea, halfu siyo kila anae acha kazi kuja kufanya biashara hatokuja kufanya biashara yko iyo iyo na kw style yko iyo ya kuendesha biashara yko, kumbuka kuna biashara nyingi sana
Ndg yngu mitaani mtu biashara za laki 8 tu lkn anaesha maisha vizuri hata mfanyakazi haoni ndani, cha kushangaza mfanyakazi ana uwezo wa kukopo milioni 10 lkn maisha bado ya chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.