Hilo ni tatizo la kitaifa hapa Dar wanafunzi wanalazimishwa kwenda shule siku ya jumamosi kwa ajili ya kufanya mtihani tu na mitihani yenyewe inalipiwa 1500 cha ajabu wengine hawamo kwenye madarasa ya mitihani yaani darasa la 5 na 6 shule ipo Mabwepande inaitwa mji mpya yaani inakera
Hayo...
Ila wakati mwingine madereva wanapark pembeni si kwa ubaya ni kwa sababu mabus yanakuwa yamepandisha joto la engen na akipakia abiria upo uwezekano wa safari kuishia njiani hili nililijua baada ya kumdadisi mmoja wa madereva ni baada ya yeye kufika na Kupark pembeni na baada ya muda mwingi...
Hawa CT hawana hata day off ni mwendo wa naandika bandua mshahara wao ni 150000 wana makato mia kidogo yaani akichelewa kidogo kuingia kazini anakatwa akikutwa kasinzia kidogo kakatwa na hawana overtime likizo yenyewe kwa mbinde sana kwa hiyo net salary unaweza kuta anaondoka na 80 au 90 ukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.