Wimbo wa Taifa unatakiwa kuimbwa pale rahisi anpokuwepo kwa utambulisho wake ua shughuli za kimataifa ikiwemo michezo sasa hilo ni kosa kupiga wimbo wa taifa pasipo sababu maalumu lakini si shangai kwani wao(Clouds) ndio walioandaa sherehe ya kuzaliwa kwa mr presida that means he is also a part...
Mimi nafikiri si kulalamika sana kwasababu tanzania hii hamna wa kukemea ilimradi mawingutv wanalipa kodi,njia nzuri ni kumwambia Kibonde aache hayo mambo kwani hayana faida kwa jamii maana kipindi kinaangaliwa na wengi wa rika tofauti afate proffesional ethics na nafikiri dhumuni la kipindi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.