Recent content by joseph johaness

  1. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Uzi wa nguo nzuri na viatu vizuri vya kike

    Ngapi hii kwa bei ya jumla Sent from my itel it1355 using JamiiForums mobile app
  2. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Las Vegas Casino

    Habari ndugu zangu bila shaka mu wazima. Mimi naomba kusaidiwa kuna mtu yeyote mwenye uzoefu na hii casino au alishawahi kufanya kazi hapo na vipi taratibu zao na mishahara yao na je nafasi zipi zilizopo apo kwa beginners. Asante.
  3. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Msaada please!

    Habari wana jf bila shaka mu wazima Mimi ni kijana wa kitanzania nimekua nikihangaika kutafuta kazi kwa mda mrefu sana kikubwa kimenileta hapa ni kukuomba wewe ndugu kama utaweza nisaidia tatizo hili. Elimu yangu: Certificate of tourism and tour guiding, Na nilishawahi kufanya kazi kama bellboy...
  4. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu habarin za asubuhi naombeni kampuni tano za uhakika ambazo zinakubali hata ukitia tsh=300 zinakubali but nnazozijua Mimi ni 1xbet na mkeka bet tu so please help me Sent using Jamii Forums mobile app
  5. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika sana mpaka nakata tamaa na hali hii

    Tusaidiane mkuu hali mbaya njia unayoptia yaweza kua msaada kwang
  6. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika sana mpaka nakata tamaa na hali hii

    Nipo dar mkuu
  7. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika sana mpaka nakata tamaa na hali hii

    Ni kwer mkuu shida mtaji tu ningeshaanZa
  8. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika sana mpaka nakata tamaa na hali hii

    Daah asante sana mkuu kwa maombi yako nitafata ushauri wako
  9. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika sana mpaka nakata tamaa na hali hii

    Pole muhanga mwenzangu kwaio uliptia njia zipi kujitaftia rizik maana daah hata mtaji sina wa kujiajiri
  10. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika sana mpaka nakata tamaa na hali hii

    Sawa mkuu ila nshasota sana kabla ya hapo pia
  11. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika sana mpaka nakata tamaa na hali hii

    Sorry kwa mistakes zilizojitokeza katika kufanya typing..
  12. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika sana mpaka nakata tamaa na hali hii

    Kujiajiri kuzuri ila Mimi nakosa tu mtaji
  13. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika sana mpaka nakata tamaa na hali hii

    Nimeandikaje mkuu nirekebishe
  14. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika sana mpaka nakata tamaa na hali hii

    Mtaji ndo tatizo
  15. joseph johaness

    JamiiForums Tanzania Nimehangaika sana mpaka nakata tamaa na hali hii

    Sawa mkuu ila Mimi sitachagua kazi mladi niipate tu
Back
Top Bottom