Kwanini wanawake wanaotumia Vikinga mimba huwa wanakuwa na upungufu wa mzunguko wa hedhi au akapitiliza kabisa asiuone mzunguko wako pindi anapokuwa ananyonyesha
Je Dr kunaswali hapa,mwanamke anaetumia kitinda mimba kwanini huwa anakuwa na mzunguko au hedhi kwa kutokuwa na mpangilio halafu kiasi cha damu kinakuwa kidogo naombeni jibu dr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.