Recent content by josefredy

  1. J

    Ni kwa namna gani na ushaidi upi siasa za Zanzibar zimekia zikiamriwa bara?

    Lakini Mr Abuu makao ya chama kua Dodoma ni sababu pekee morning nayohalalisha maamuzi ya Zanzibar kufanyika bara ??
  2. J

    Barua kwa Mwalimu J.K Nyerere

    BARUA KWA MWALIMU. Anuani: mahala pema, mahali peponi. Ndugu Mwalimu, Heri ya miaka 98 ya kuzaliwa, Mbuya muhandiri! Na imani unakumbuka kizanaki kwakua uliishi uafrika na kufa mwafrika. Wakati wino huu ukimwagikia karatasi hii nyeupe, mke wako kipenzi Maria ametembea safari ndefu ya miaka...
  3. J

    Barua ya Rais Mobutu kwenda kwa Rais wa Ufaransa Jacques Chirac

    Afande mobuttu Jamaa alijenga jumba la starehe kijijini kwao akaliita motel nzekele Akanunua meli ya kulia bata ikiitwa MV kamanyola Akajenga kanisa kubwa na airport yenye uwezo wa kutua ndege aina ya concord yote aliyafanya kinijini kwao gbadorite Ila ubaya haudumi.. Alianguka na kila Kitu...
  4. J

    Ni kwa namna gani na ushaidi upi siasa za Zanzibar zimekia zikiamriwa bara?

    Kuna tetesi na pia kuna mambo mengi yanayoonyesha kua siasa za Zanzibar zimekua zikiamriwa dodoma na dar es salaam toka 1972 specifically after the death of karume. Tujulishane ishu ya rais Aboud Jumbe, uchaguzi mkuu zanzibar 2000 na 2015 na mambo mengine mengi kuthibitisha tetesi hizo Sent...
  5. J

    Mauaji ya Karume 1972: Je, muuaji aliwahi kukamatwa na kushitakiwa?

    Kuna wakat fulani nilikua nikisikiliza bunge na mbunge fulani hivi alitamka kwamba Zanzibar haijawahi kuridhia muungano na wanasheria wa JK1 waliforge hati ya muungano ?? Kama kuna tetesi shujaa huyu aliuwawa na kuna watu fulani walihusika embu tuanzie kutrace tatizo kwenye muungano? Je...
  6. J

    Mauaji ya Karume 1972: Je, muuaji aliwahi kukamatwa na kushitakiwa?

    Naomba nihame kidogo Hiv ni kwann nchi alipewa karume na sio okello na baada ya mapinduzi okello alienda wap na pia je kama kiongozi wa mapinduz SMZ ilimpa reward gan Na uraia wake ulikua sababu ya yy kukosa nafasi SMZ labda tuanzie huku kabla ya kufikia tukio hlo la uhaini Sent using Jamii...
  7. J

    Uchaguzi 2020 : CCM kumpiga chini Magufuli

    Huu ni utipolo wa kiwango cha Rami Sent using Jamii Forums mobile app
  8. J

    Tarehe 26 Aprili ni siku kuadhimisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Mkuu Kwa mtazamo wako muungano huu ni halali kwa maana ya pande zote zinafurahia kua katika muungano huu, naweza kusema mm ni muumini wa muungano ambao pande zote zinaufurahia Kupitia muungano huu siasa za Zanzibar zimekua zikiamuliwa dodoma na dar es salaam utakumbuka mkasa wa marehemu aboud...
Back
Top Bottom