Recent content by Jose Mtengule Doy

  1. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Msaada: Smartphone yangu aina ya Samsung imejizima, then imegoma kuwaka

    Khaa, we dada unaroho mbayaa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Msaada: Smartphone yangu aina ya Samsung imejizima, then imegoma kuwaka

    Wakat simu inazima betri lilikuw na asilimia zaid ya 60, BT nlipokuj kuweka kwenye sm nyngne halikuw na kitu kabisaa... Na simu nimeipima umeme unaonekana hamna kabisa na charge haiingizi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Msaada: Smartphone yangu aina ya Samsung imejizima, then imegoma kuwaka

    Nakusubiria mkuu.. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Msaada: Smartphone yangu aina ya Samsung imejizima, then imegoma kuwaka

    Poa poa, haina mbaya Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Msaada: Smartphone yangu aina ya Samsung imejizima, then imegoma kuwaka

    umewah nunua simu ya kampuni gan then kwenye box ukakuta kuna expiredate? Mkuu AF unamasihara ya mia 2, kwenye biashar ya lak 4 Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Msaada: Smartphone yangu aina ya Samsung imejizima, then imegoma kuwaka

    Kwan we mwenzang simu yko unaytumia saiv umeinunua lini? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Msaada: Smartphone yangu aina ya Samsung imejizima, then imegoma kuwaka

    Aya bhan Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Msaada: Smartphone yangu aina ya Samsung imejizima, then imegoma kuwaka

    ah masihara sasa, expire date haijafika nimetumia miezi kam 9 tu iexpae, [emoji28] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Msaada: Smartphone yangu aina ya Samsung imejizima, then imegoma kuwaka

    Jamani nimetumia simu aina ya Samsung MegaPlus GT-I9152p, ikiwa haijafikisha hata mwaka mmoja tangu itoke kwenye box, kuna siku (wiki 3 zilizopita) ilijizima ghafla, then ikagoma kuwaka kabisa, hadi sasa. Kwa wenye utaalamu wa hizi smartphones naomba kufaamu tatizo linaweza likawa...
  10. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Kuku wa kienyeji.

    kuanzia mmoja hadi 20
  11. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Kuku wa kienyeji.

    Elfu 15
  12. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Kuku wa kienyeji.

    Wakuu kama kuna mtu aliye Morogoro anayehitaji kuku wa kienyeji anitafute kwa 0712375700 .. Tupo maeneo ya Nanenane Moro, bei iko poa tu.
  13. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Usiwe na papara ya pesa bet kawaida tu.. izo ngumu ztakuumiza utaliwa had utaanz kuchukia makampuni ya kubet
  14. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Mambo 10 watu waliofanikiwa hupenda kufanya usiku kabla ya kulala

    I like it... ngoj nipick some behaviour
  15. Jose Mtengule Doy

    JamiiForums Tanzania Wanawake mnaojiuza, acheni hiyo biashara

    Hii biashara haiwez kuixha ng'o
Back
Top Bottom