Brother ni wazo zuri sana hakuna faida ya kupiga nyeto kwanza ukiwa unapiga nyeto wanawake hutawathamini utawaona kama ni wanaume wenzio tuu binafsi naichukia sana coz ilifanya nitengane na nimpendae ila nashukuru mungu sasa nimeacha
Toka nijue mapenzi nlikua sijawahi kulia kwa ajili ya mapenzi yamekuta had I nimelia na kunifanya nimeyachukia mapenzi nilikua katka mahusiano kwa miaka miwili na nusu na girlfriend wangu Sikh moja kaniambia hivi una mpango gani !nikamuliza kwa mini umeniuliza hivo akanambia mda was. Kuolewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.