Cha ajabu wanafunzi wenyewe ni mafundi wa kukata viuno hadi basi. Waliwezaje kukata viuno namna ile kama wana maadili? Huyo KM alitakiwa kutafuta chanzo cha tatizo badala ya kutibu matokeo.
Hivi ni wakati gani kunakuwa na mikopo ya Zanzibar peke yake na ni wakati gani kunakuwaga na mikopo ya Jamhuri ya Muungani wa Tanzania? Au Zanzibar inakopa baadaye inatemgenezwa deni la Taifa la Jamhuri ya Muungani wa Tanzania? Ni lini Tanganyika nayo itakopa na ikajigamba kwamba itarudisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.