Recent content by Jorojik

  1. J

    Kwanini ukitoka polisi/jela ndugu wanakwambia uvue nguo zako ili zichomwe moto

    Wanajua ulibakwa nayo. Unataka uingie Na uchafu wako ndani?! 😡😡😡.
  2. J

    Watanganyika ndio Wazenji halisi

    Wacha utapeli, udangsnyifu peleka huko.
  3. J

    Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

    Mahondaw akitishia kukuacha Wala usi-attempt kujiua chifu.
  4. J

    Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

    Bwashe johnthebaptist vipi hizi lawama zimeelekezwa mahala sahihi?😅😅
  5. J

    Mdahalo wa kutathimini Nafasi ya Mwanamke wa Tanzania katika Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania ulioandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)

    Hivi mama yangu kule kijijini naye mchango wake unaangaziwa kweli? Tuache utani.
  6. J

    Chatanda ashiriki hafla ya kumbukizi ya miaka 90 ya Dkt. John Samwel Malecela

    Mitano tena kwa mzee marecela. Otherwise tunamwombea kila kheri mzee wetu awe na maisha marefu zaidi
  7. J

    Ndugu zetu TANESCO, tatizo nini tena?

    Labda transfer lines zitakuwa zimezidiwa load baada ya Tanesco kuzalisha umeme wa ziada. Tuwe wavulimivu kidogo😅😅😅
  8. J

    Maajabu familia ya marehemu mkuu wa majeshi Kenya Leo anaagwa baba yake leo anatimiza miaka 100 ya kuzaliwa

    Exactly shida yako ni nini hapo? Au ulitaka jamii ipate habari gani hasa hapo?
  9. J

    RC Makonda: Nyie Wafanyakazi wa TRA mkistaafu mtakuja Kuwa Wafanyabiashara hivyo tendeni Haki mkijua kuna kesho!

    Enzi zake alipokuwa katika kundi la wasiojulikana katika kuwashughulikia wapinzani wa Serikali ya awamu ya 5 kwanini alikuwa hakumbuki kama kuna siku atakuwa mpinzani?
  10. J

    Jokate Mwegelo Aainisha Mapinduzi Makubwa Katika Sekta ya Elimu Zanzibar

    Hahahahaha .........ndo maana ameenda kuainisha mapimduzi ya sekta ya elimu ya Zanzibar.
  11. J

    Jokate Mwegelo Aainisha Mapinduzi Makubwa Katika Sekta ya Elimu Zanzibar

    Ana taaluma gani ya elimu hadi yeye ndo awe wa kwanza kuainisha masuala ya elimu tena nchi ya watu?! Uchawa ni mzigo sana😡😡. Kwamba atoke Bara aende Zanzibar kuainisha masuala ambayo si ya Muungsno huko? Msiwatanie wazanzibari.
  12. J

    Dkt. Nchimbi apinga kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyeahidi "kuwapoteza" wakosoaji wa serikali

    Polepole hata angepelekwa US bado angerudi mtupu. Ni kati ya watu ambao wapo addicted na zile siasa chafu ya awamu ya 5.
Back
Top Bottom