Enzi zake alipokuwa katika kundi la wasiojulikana katika kuwashughulikia wapinzani wa Serikali ya awamu ya 5 kwanini alikuwa hakumbuki kama kuna siku atakuwa mpinzani?
Ana taaluma gani ya elimu hadi yeye ndo awe wa kwanza kuainisha masuala ya elimu tena nchi ya watu?! Uchawa ni mzigo sana😡😡. Kwamba atoke Bara aende Zanzibar kuainisha masuala ambayo si ya Muungsno huko? Msiwatanie wazanzibari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.