Mtoto anadhurika kwa kuwa unamnyonyesha ninachokushauri mtoto ili awe na afya yake njema acha kumnyonyesha mtt tena na utafute mbadala wa chakula chake cha asili kuna maziwa special ya watoto yatamfaa huyo mtoto na atakuwa vizuri bila shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.