Recent content by joph

  1. J

    Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    duh hatari na je aliwahi kufufua kweli?
  2. J

    Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    kwa hiyo hao uliotaja wote si watu wa kuamini?
  3. J

    Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

    Mtoto anadhurika kwa kuwa unamnyonyesha ninachokushauri mtoto ili awe na afya yake njema acha kumnyonyesha mtt tena na utafute mbadala wa chakula chake cha asili kuna maziwa special ya watoto yatamfaa huyo mtoto na atakuwa vizuri bila shida.
  4. J

    Gari imeibiwa ikiwa na mtoto mdogo ndani yake maeneo ya Mbezi

    Kituo cha polisi kimara mtt yuko
  5. J

    Gari imeibiwa ikiwa na mtoto mdogo ndani yake maeneo ya Mbezi

    Kwa taarifa za magroup gari imepatikana na mtoto pia gari ipo wrong park mwenge na mtt yupo salama pia kituo cha polisi
  6. J

    Umuhimu wa BIMA ya maisha toka Jubilee Insurance

    mwenye mawasiliano ya simu na email ya bima ya maisha cjui ni shirika cjui ni kampuni la tumaini naomba anipatie
  7. J

    Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

    asante kk kwa kumwambia ukweli kama mtu ana nia ya kusaidia watu si lazima asaidie kwa kupigiwa cm huo ni wizi na utapeli.
  8. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo makete njombe nicall 0754847632
  9. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo njombe mm nije bagamoyo au kibaha
  10. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo makete iringa niende tana wilaya yyt call 0754847632/0715399977
  11. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mm ni mwalimu wa msingi. wilaya ya makete iringa.natafuta mwl wa kubadilshana nae aliyeko mkoa wa tanga wilaya yyt
Back
Top Bottom