Mazingira ni tofauti kanisani ni mpk jmoc na j2 hivyo kanisa hata likiwa mbali sio tatizo ila msikiti swala ikifika muda huo huo lazima mswali, wewe huoni Hospital ya taifa ya Muhimbili kuni msikiti na makanisa mawili
M
Msikiti ni sehemu ya huduma ya jamii japokuwa inawahusu Waislamu zaidi, ww hujiulizi kwa nini Posta, Kariakoo, Mnazi mmoja, UPANGA na Muhimbili misikiti ni mingi kuliko makanisa kwani Serikali ni ya Kiislamu
Wewe umeumbwa na udongo halafu ukipigwa na donge la udongo mkavu unaumia ndivyo hivyo hivyo kwa majini nao wameumbwa kwa moto na wakitupwa kwenye moto wa MUNGU pia wanaungua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.