Sasa hivi watanzania muone ni kwajinsi gani tunavyo buruzwa ili kukubaliana na mawazo kandamizi ya utawala wa ccm hiki alicho kifanya sita nikituko cha karne tuta kuwavituko mbele ya mataifa
Duuuuh kuna kazi kubwa kujua viongozi wabovu but sasa inshaaalah Mungu mkubwa tuna watambua kadili Siku. zonavyo enda kuelekea uchaguzi mkuu kutoka ccm
Duuuh njaaaa mbaya kumbe mtu hukiongwa una uaweza mkana babaako mcha kweeeupeeeee but jua atakama cdm hawana cha kuonga maisha mazuri yanatokana na uvumilivu wa maisha ktk maisha maguuuumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.