ni vizuri maswala ya dini wakaachiwa waumini na viongozi wao. serikali iendelee na mambo yake, madai haya yakiachiwa yaendelee mwisho ni kuishia kwenye ugomvi kama tunavyosikia nchi zingine !
Kwavile swala la Ulimboka limegubikwa na utata si vizuri kuendelea kulijadili hadharani. Madaktari walijadili kwa tahadhari maana kilichomsibu mwenzao bado kiko palepale( wabaya wao) !
mimi naona watanzania wengi hasa viongozi wasiasa wamelewa madaraka. kuna haja ya kupunguza marupurupu ili kuondoa usongo wa watu kukimbilia siasa. imefikia wakati watanzania kujali kazi za kitaalamu !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.