Recent content by jonathan2018

  1. J

    Chanzo cha Uhai

    KAMA WEWE BINADAMU UNAUWEZO WA KUTENGENEZA GARI, NDEGE, VYOTE UMEVIUNDA KWA UWEZO WAKO.. BASI JUA KUNA MWENYE AKILI ZAID AMBAE AMEKUTENGENEZA NA AKAKUWEKA KWA AJILI FLANI.. .. HAKUNA KITU ETI..... BINADAMU AMEJIUMBA MWENYEWE... Sent using Jamii Forums mobile app
  2. J

    Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

    mimi mtazamo wangu ni mmoja tu.....mf kabla ya izi dini mfano. na kabla ya amri 10 za MUNGU... mfano, mtu ukiua au ukizini, roho yako inakushuhudia dhambi au? yaan ulichofanya ni sahihi ama?....mi ninachojua, tendo lolote kama ni baya...... kama ukilifanya roho yako ikikusuta, basi ni baya...
  3. J

    Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

    Naombeni kopy ya version ya Book of enoch kwa kiswahili plzzzz mwenye nayo, softcopy plz
  4. J

    Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ivi wanavyosema mchaw anapita kwenye ukuta.... anapita physically na mwili wake huu unaogusika kwa mikono au roho yake ndo inapita, ndo inayosafiri . wajuzi niambieni..
  5. J

    Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

    siku zote uchawi na uganga ni nguvu za giza, na siku zote hizi nguvu zinaendana na kafara.. ili nguvu izi ziwe kubwa, kafara kubwa pengine ya damu ya mtu inahitajika... au kafara ya mtoto wako, au ndugu yako. hivyo basi ktk nguvu za giza hakuna maendeleo, amani, huko huwa ni mambo ya giza tuu...
  6. J

    Unapoanzia uchawi ndipo sayansi inapoishia

    Tatizo la watu hadi leo hawataki kuamini kama uchawi upo. na watu tulilishwa matango poli sana hasa kwenye dini zetu, mfano sisi wakristo baadhi ya madhehebu wanasema uchawi upo lakini tusiamini.. sasa hapo mm huwa siwaelewagi.. MAZINGAOMBWE NI MOJA WAPO YA UCHAWI, NA KIPINDI CHA NYUMA...
  7. J

    Israel kabla ilikuwa inajulikanaje?

    Asili ya uchawi imetoka wapi?. nadhani jibu ni kutoka kwa wanefili kwakuwa walikuwa na uwezo mkubwa wa miujiza ya kishetani yaani uchawi.. sidhani kabla ya hao fallen angels kuingiliana na binti za wanadamu kulikuwa na uchawi.... so, gharika ilitokea na kuangamiza hawa jamaa wa ajabu.. then...
  8. J

    Israel kabla ilikuwa inajulikanaje?

    MSINICHOKE WAUNGWANA.. NAENDELEA KUULIZA ILI NINOE ZAIDI UJUZI.. ETI NI KWELI KWAMBA CHEMBE CHEMBE ZA HAWA NEPHILS BADO ZIPO DUNIAN? KWENYE DUNIA YA LEO! KWASABABU HAWA JAMAA NDIO WALIKUWA MABINGWA WA UCHAWI NA UWEZO WA KISHETANI.. NA KAMA WALITEKETEZWA WOTE, MBONA MAMBO YA KICHAWI NDO...
  9. J

    Uhalisia wa taifa la Israeli

    kumbe misri nayoijua mm wenyewe sio waarabu?.. duh.. inabidi nitafute historia ya misri au mwenye nayo anipe
  10. J

    Uhalisia wa taifa la Israeli

    ukiangalia kuna ukweli kiasi flan.. coz hata historia ya Tanzania imeandikwa na wazungu.. unategemea nn hapo.. mzungu lazima aandike ujinga ili wenyewe tujione wajinga mbele yao.. hawawezi kuandika ya maana yetu ili tujitambue..
  11. J

    Israel kabla ilikuwa inajulikanaje?

    ki biblia, Israel ni nchi ya ahadi waliopewa waisrail. hivyo ni nchi ambayo haikuwa yao apo mwanzo.. je, kabla ya kuwa utumwani nchini misri. hawa waisrael walikuwa wanaishi nchi gani.. na je, wamisri waliwatekaje hawa jamaa adi kuwafanya wawe watumwa wao.. na hiyo nchi yao ya zamani kabla ya...
Back
Top Bottom