Recent content by Jonathan Ijumba

  1. J

    Zitto: Nimetoka nyumbani kwa Nape kumtia moyo

    careful for what? nchi hii ni ya watanzania wote
  2. J

    Sakata la Makonda: Ruge wa Clouds Media ahojiwa na Polisi

    Asante kwakujitambua mimi sikuhizi siangalii clouds make walikuwa wakijishaua kumpamba bashite
  3. J

    Mungu Mkubwa! Afrika yetu yote kujitoa ICC!

    ikiwa wakijitoa viongozi wa Africa watajimilikisha nchi kabisa make wanajua hakuna pa kushtaki tena na umaskini utatumaliza
  4. J

    Waziri wa fedha ameshindwa majukumuu yake?

    umeongea ukweli mtupu
  5. J

    Waziri wa fedha ameshindwa majukumuu yake?

    watatupaje msaada wakati Nchi haiendeshwi kidemokrasia. kilichotokea zanzibar uchaguzi mkuu kwa watu kugangania madarakani tumenyimwa misaada serikali kwa jeuri ikajibu haihitaji msaada. sasa majuzi serikali hiyo hiyo inatangaza kuwa serikali haina hela inaomba msaada. Tanzania kujiendesha...
Back
Top Bottom