Recent content by jombi95

  1. jombi95

    Taarifa ya ajali: Mwana JF mwenzetu Ushimen kapata ajali mbaya na sasa yuko Muhimbili hospital

    Get well soon Brother Ushimen. Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi.
  2. jombi95

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Nimefanikiwa Boss kwa Browser naona kwenye App inazingua
  3. jombi95

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Hii document nashindwa kuidownlod hapa. Unaweza nitumia PM mkuu au ukaiattach upya.?
  4. jombi95

    DOKEZO Kwani Serikali inamuogopa Bayi na wenzake? Hatupati Medali Olimpiki kutokana na makandokando ya Viongozi wa juu wa TOC

    Ama kweli kila mbuzi atakula kutokana na urefu wa kamba yake. Hivi Mama Bayi bado yupo.? Nakumbuka back then 2012 mashindano ya Copa coca cola kitaifa tuliweka kambi hapo shuleni kwa jamaa kibaha. Jamaa kaanza kupiga mahela kitambo sana.
  5. jombi95

    Access Bank Tanzania yauzwa, sasa kujulikana kama 'Selcom Microfinance Bank'

    Hii Safi sana. Nani anaimiliki Selcom.? Au nayo ni ya Abdul.?
  6. jombi95

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Blocked Account 11000 euro sio mchezo aise.
  7. jombi95

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Hiyo ni Annual Salary. Hapo Take home inaweza kuwa ngapi kwa experience yako.? 2.Mimi napiga lugha niko B1 natarajia kumaliza mwezi wa 4.Njiaa nzuri ya kuingia huko ni ipi as per your experience.Niko na Bsc.in Mechanical engineering with 3 years experience. Nimefatilia FSJ na BFD kwa mimi...
  8. jombi95

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Namaanisha Euro laki moja na nusu kaka(150k) ndani ya miaka mitatu.
  9. jombi95

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Hivi inawezekana kusave around 150k kwa miaka 3 ukiwa Germany 🇩🇪, USA o Canada.?
  10. jombi95

    Waliowahi kuomba na kupata Visa tukutane hapa tupeane uzoefu

    Hivi inawezekana ukaenda nchi kama [emoji629] Germany,Australia au USA ukapambana kweli kweli ndani ya 3 years ukasave hata Euro 150k au Usd 150k..?
  11. jombi95

    I'm looking for Registered Nurse job Vacancy

    Ukipata kazi jichange change fanya mpango ukapige lugha ya Kijerumani( Deutsch) Naona Manurse wengi sana wanakimbilia Ujerumani huko na ofcourse wanalipwa vizuri sana kigezo ni lugha tuu B1. Haujachelewa fanyia kazi ushauri wangu. Sisi watanzania tumechelewa sana ila Wakenya kitambo sana...
  12. jombi95

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Hongera sana Chief. Blocked Account ulifanyaje mkuu.? Au ulideposit mzigo wote.?
  13. jombi95

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Hongera sana Chief. Mimi pia niko na Bachelor of science in Mechanical Enginering na Currently nasoma lugha (Deutsch) niko A2 but plan nipige hadi B1 nianze harakati za kuja huko. Any advice bro. Wewe ulichomokaje bongo .? Kwa BFD,FSJ au uliiaply masters moja kwa moja from bongo.? Na kugha...
  14. jombi95

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Niondolee Stress zako hapa. Unachukiaga..?? Wewe kama nani.? Stress peleka nyumbani kwako kwa mkeo.
Back
Top Bottom