Hili swala la Elimu bure kwenye shule za msingi na Secondary naona haijakaa sawa... NIMETOKA KULIPA ADA YA MWANANGU WA FORM ONE SHULE MOJA HAPA ARUSHA.. 225,000/= SASA NIMEIBIWA AU? Naomba kujua hii thana ya Elimu bure..
Hapo cha-cha Hawa mabepari waliona kukimbilia mahakamani itakuwa issue maana hawakujua tunaushahidi gani wa kutosha. Sasa Jana wamekamilisha kila kitu na wamejua mapungufu yapo wapi na watatushtaki vipi. Na tumewafunulia kila kitu. Issue ngoma ni mahakamani tu. Kweli wametupiga Sana na bado.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.