Iwe kubwa mara ngapi? Ndoa ngapi zimevunjikq kwa wanawake kujigeuza jike dume, mtaani watoto wakiume waliogeuka kuwa mashoga kwa kulelewa na mama zao TU, madhara yamekwisha kuwa makubwa sana.na bado serikali inaangalia watu kama Joyce kiria wanaubili kwenye mitandao kuwapotosha wengine.
Ku
Yatasaidia kitu hudumia mtoto wako naye akihudumiwa na wazazi wake ndio maana utamuona na kumuoa.hacha ujinga wa kusema mtoto wa nje ya ndoa hakuna kitu kama hicho,kwani shahawa zako zote ulimwaga ndani na sio nje.
Lazima pia kuamini kuwa Kuna wanasheria wazuri Sana nje ya ofisi ya mwanasheria wanajua maswala ya mikataba kuliko wao nao tusikilize na kupokea ushauri wao.
Mishahara haiwezi kulingana kamwe hata taasisi zinazojitegemea ila wengine wanapata posho wote.halimashauri nyingi ni kujuana kwingi vinginevyo unastaafu hajawahi pata posho.
Inabidi tuwe wakweli, shinyanga wakikamata mchungaji wa mbuzi akifanya yake akashitakiwa na kutozwa faini ya 50000.katavi pia walikamatwa akifanya na ng'ombe.ukerewe kaka na Dada walipea mimba na kuzaa watoto 2.rukwa mtoto wa mwisho kamuoa mama yake mzazi baada ya baba kufariki Hadi walihojiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.