MIEZI michache baada ya mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), kumlipua bungeni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, akidai anamiliki maelfu ya ekari za ardhi katika maeneo mbalimbali nchini, safari hii amemfuata jimboni kwake Muleba Kusini na kuahidi kula...