Recent content by joka la mdimu

  1. J

    Jinsi CHADEMA itakavyojimaliza yenyewe kuelekea 2015

    Hahahaaa mkuu unajitekenya afu unacheka mwenyewe...kwel Cdm imewagandaa
  2. J

    Jinsi CHADEMA itakavyojimaliza yenyewe kuelekea 2015

    Hahahaaa utasumbuka sana lukosi adi utatoka damu,ila najua dawa inakuingia pole poleee adi utapona tu Cdm mziki mwingine bana hizo hesabu zako feki wapelekee magamba wenzio..
  3. J

    Kama Slaa, Migiro, Salim, Lowassa, Shein hawafai kuwa Rais; nani atatufaa 2015?

    Kwel kama lilivo jina lako na ndivyo unavofikiri mwanamke gan wewe muongo namna hii,hivi kwel ww wa kumnyoshea dokta slaa kidole,na ww huna ata bwana wala ujui wa kesho atakua yupi,si bora dokta yeye ana josephne,,
  4. J

    Serikali imeamuwa kuwakandamiza wananchi wa Kusini

    Hi Watanzania tumeonekana mazuzu kutokana na uongozi usiojali mambo ya msingi ya kuendesha nchj ukianza na elimu, raslimali, uhamiaji, taratibu za ajira, umachinga wa wageni , dawa za kulevya zinauzwa na viongozi wakubwa na watoto wao wanaua ndugu zetu endeleeni kuwachagua ccm ambao hawafikiri...
  5. J

    Serikali imeamuwa kuwakandamiza wananchi wa Kusini

    Hivi ukiwa gamba ni ugonjwa gani huwa unaugua mana mtu mzima kabisa lakn anajitoa ufahamu kana kwamba anaishi mbinguni,,,:mad::mad:
  6. J

    Serikali imeamuwa kuwakandamiza wananchi wa Kusini

    virce~ versa is true...magamba banaa...
  7. J

    Serikali imeamuwa kuwakandamiza wananchi wa Kusini

    Kweli akili za kushikiwa ni bora uzaliwe chizi wewe wenzako wa kusini wanaminywa wewe unashabikia...2015 akili lazima iwakae sawa tuombe uzima...
  8. J

    Vijana wa CHADEMA hatuna imani na uongozi wa Mbowe, Dr. Slaa na Zitto?

    Mkuu zinjathropus,ni bora ingekua hivyo na si kinyume chake uzuri unayaandika haya ukiwa unaujua ukwel in and out anyway ndio aina ya wanasihasa tulioko nao nchi hii,ila this time mtatoka tu...
  9. J

    Mbowe na Silinde wafunika sokoine Mbeya

    You cant be serios....magambaa bana
  10. J

    Mbowe na Silinde wafunika sokoine Mbeya

    Wivu wa kike....
  11. J

    Mbunge Joshua Nassari (CHADEMA) aunga mkono uvamizi

    Kiukwel mbunge yupo sahihi kabisa mana wangeweza kuchelewa tu mafisadi wangepiga bao,nahisi pia kuna hali ya wananchi hapo kunusa kupigwa bao ila si mbaya mali si yao bana wagawane tu.....
  12. J

    Vijana wa CHADEMA hatuna imani na uongozi wa Mbowe, Dr. Slaa na Zitto?

    Mkuu simiyu yetu,kwanini usikae kimya ujapigiwa mziki unaanza kucheza ukipigiwa sasa utacheza nini??kweli kua gamba ni zaidi ya uchizi....
  13. J

    Mbatia,yupo chuo kikuu SAUT anatoa mada

    Hahahahaaaaa akili za kinyumenyume bana.....
  14. J

    Kwanini Zitto anashambuliwa kwa kufuatilia matumizi ya fedha za umma?

    Mhhhhhh kuna kitu apa,napita tu lakini
Back
Top Bottom