Habari zenu, naomba msaada kwa anayejua mtu ukitaka kuwa na TV show yako mfano wanawake live, mkasi na kama kilivyokuwa cha Wema Sepetu, anatakiwa afate utaratibu gani na inaweza cost sh ngapi kwa kuanza?
Habari zenu,
Mi ni mwanamke wa miaka 26, nina miaka mitatu tangu nijiachie ili nipate mimba lakini sijapata; nikaenda hospitali nyingi ikiwe regency, nikaambiwa nna uvimbe kwenye mayai na nkapewa dawa lakin hazikunisaidia. Na mume wangu alishapima yupo sawa.
Nikaenda Chanika kwa dokta. Kapona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.