Recent content by Johnson theodore

  1. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupakua HD Movies

    Naomba kuuliza site ambayo ntaeza kudownload hd movies kama kuna anae fahamu tusaidiane jaman
  2. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Spotify

    Anyone anaeza nisaidia jinsi ya kupata Spotify app on my phone na niweze kuitumia cause kila nikiidownload naambiwa service ya Spotify haipatikan tanzania kama kuna mwenye crack on how to crack it plzz naomba msaada.[emoji4] natumia iOS phone i phone 5s
  3. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Music lovers

    Bro list iko fire [emoji91] bongofleva siwez sema siskiliz kabisa naskiliza bongo hip hop ila kuhusu abroad music aisee sanaa tu mzee apa namskiliza travis scott butterfly effect unaipata hii ngoma
  4. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Music lovers

    Notorious big-juice,lost boyz-summer time,lost boyz-lifestyles of the rich....p diddy-need a girl,nelly-dillema zouk siskiliz bro
  5. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Pc and video games

    Achana na modern call of duty ile ya pili nadhan nataka kamaa iko latest ya pc kama imeshatoka
  6. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Music lovers

    Napenda mziki sana(good music) naeza sema music is my life! Naskiliza kila siku anyone yuko na feelings za mzik kama mm if ur interested nataka kufungua group la whatsapp for only music lovers(good music) napendelea sana miziki ya nje ila pia naskiliza miziki yetu(kama unatumia iOS itakua poa...
  7. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania NARCOS-season2

    Ninayo paka season 3
  8. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Pc and video games

    pc game ya last call of duty anyone mwenye nayo or any mission games nzur.[emoji1598][emoji452]
  9. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Atlanta season

    Hii movie nina was was nayo hata jina mangwangwa[emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Atlanta season

    Hahaha vikings nishacheki sema kimtindo brother napenda sana blacks series na nyingine nimependaga ni narcos tu! Zingine drama nyingi afu fiction zakutosha
  11. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo na ushauri kwa serikali kuhusu vijana wanaomaliza vyuo

    Ushaur ungefaa ss na mapendekezo yako kaka..
  12. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Atlanta season

    Atlanta season 1 iko poa sana Anyone watched it season 2 inatoka lini? au ishatoka?
  13. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo na ushauri kwa serikali kuhusu vijana wanaomaliza vyuo

    Nikweli unachosema sio ishu sana kutegemea serikali yetu hii ila ina serikali inamchango mkubwa sana kwa hii issue brother..
  14. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo na ushauri kwa serikali kuhusu vijana wanaomaliza vyuo

    Vijana wengi wako mitaani na majumban bila kazi wala ajira wengine wamemaliza vyuo hawana kazi na wengine ambao hawakubahatisha kufika elimu za juu.Wote hawa wengi wao wanauwezo mkubwa wa kufanya mambo yatakayoleta heshima na maendeleo katika nchi yetu kuna wenye ideas kubwa na nzur ila hawana...
  15. Johnson theodore

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo na ushauri kwa serikali kuhusu vijana wanaomaliza vyuo

    Vijana wengi wako mitaani na majumbani, wengine wamemaliza vyuo kazi hakuna, wengine hawakupata bahati ya kupata elimu za juu ila wote hao wana uwezo mkubwa na idea nyingi nzuri za kuleta maendeleo katika nchi yetu. Je, wana nafasi gani serikalini na wanasaidika vipi? Ifike mahali serikali yetu...
Back
Top Bottom