Johnson theodore
Member
- Dec 18, 2017
- 16
- 3
Vijana wengi wako mitaani na majumbani, wengine wamemaliza vyuo kazi hakuna, wengine hawakupata bahati ya kupata elimu za juu ila wote hao wana uwezo mkubwa na idea nyingi nzuri za kuleta maendeleo katika nchi yetu.
Je, wana nafasi gani serikalini na wanasaidika vipi? Ifike mahali serikali yetu iwe na uthubutu.
Je, wana nafasi gani serikalini na wanasaidika vipi? Ifike mahali serikali yetu iwe na uthubutu.