Watanzania kwasasa wale wapenzi wa chama cha chadema..mjisii kuwa ugomvi wa viongozi usije leta ugomvi ya wananchi...mfano kwa sasa ukiangalia ktka jamii forum utaona page ya siasa utaona stori za chadema zimejaa ...sawa lakini tufuate mambo mazuri ya viongozi na sio maneno mabaya yanayo leta...
Chadema wanaendesha mtafaluku katika chama unao potosha wengi vijiweni na wapenzi wachama ...ukiangalia wanazidi kutugawagawa kwa maneno ...na habari za katika jamii forum kujaa nyingi zao ....twawezaq
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.