Recent content by johnluoga

  1. johnluoga

    Mpaka kufikia tarehe 31 Desemba, Magufuli atawaacha midomo wazi

    Wanawake ndivo walivo hata mke wako mwenyewe nenda kagombee uongozi wanyuma kumi hapo mtahani kwako uone kama utapata kulayake. Kwanza mimi na wew tukigombea kula ya mke atnipa mimi
  2. johnluoga

    Mpaka kufikia tarehe 31 Desemba, Magufuli atawaacha midomo wazi

    Mm namkubali sana jpm tena namunga mkono 100% tena mbka kufiki 2020 itakuwa ni aslimia 500 % Hiki anacho kifanya drt john pombe joseph magufuli kilikuwa kinahitajika na wananzania wengi kwni ndo kilikuwa kilio chao. Mana jk walisha sema kaziyake kubwa nikuchekacheka tu sasa hiki chuma hakitaki...
  3. johnluoga

    Siri nzito ya Zombe na Bageni

    Duuuuu!!dhambi kubwa hii
  4. johnluoga

    Ushauri Kuhusu Mkurugenzi wa TAKUKURU

    Nachukia mimi watu kutaja lowasa lowasa hapa kazi tu.
  5. johnluoga

    Zitto: Januari ndiye mgombea wa CCM aliyejieleza kwa ufasaha zaidi kuliko wote!

    Kwakuwa kiongozi bora January makamba hafai bado kwa maomiyangu . Kwa sababu hata swala la mawasiliana himemshinda je ataweza kuliongoza hii taifa ambalo liko kwenye majanga tayari? Ebu afanye kazinyingie amboyo haito mpa comprecatios
  6. johnluoga

    Kama Hukupewa basi usilazimishe, angalia waliolazimisha mateso yao

    Duuuu!!! Haya matusi makubwa sana mweeeeee!!!!
  7. johnluoga

    Deo Filikunjombe Ashiriki kuchimba mashimo ya nguzo za umeme pamoja na Wananchi

    Kazana baba filikunjombe ,jembeletu, katapila na msamaliamwema .tunashukuru unatujali sana ciciwanaludewa unatupigania kufanakupona Tupo nyumayako tunakuombe hata uchaguzi ujao uweze kushinda kwa kishondo .
  8. johnluoga

    TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    Tumwombe apumzike mahali pema peponi
  9. johnluoga

    Deo Filikunjombe aandaa semina kwa viongozi wa CCM wilaya ya Ludewa

    Mimi naona anaesema mama atachukuwa jimbo la ludewa yuko sahii. Japo kwauwezo woke wakufikiri jimbo ndo umefika hapo alipo msameheni bule hajui atendalo huyu mwa nadam mwenyemapungufu. Angekuwa na uwezo wakuona mbali angeona au kusoma nyakati tu. But mimi nasema kuwa filikunjombe...
  10. johnluoga

    Deo Filikunjombe Ashiriki kuchimba mashimo ya nguzo za umeme pamoja na Wananchi

    Hapa hakunakusema mh spika" swali lanyongeza ni kazi kwa kwenda mbele.
  11. johnluoga

    Deo Filikunjombe Ashiriki kuchimba mashimo ya nguzo za umeme pamoja na Wananchi

    Kweli nimeamini kuwa kunamijitu haijui kusoma hata kuangalia picha tu imekuwa shida sana . Pole sana nduguyetu OLESAIDIMU usiye penda aendeleo yetu ssi wanaludewa. Napenda sana kama ungekuwepo eneo la tukio uwone mwenye kazi wanayo fanya wana nchi ndo ungepata jibu . Pia hata cijui nianzie...
  12. johnluoga

    Deo Filikunjombe Ashiriki kuchimba mashimo ya nguzo za umeme pamoja na Wananchi

    Nimekubali kuwa ludewa hatuna mbunge bali tunajembeleu ambalo kwa jina ni deo filikunjombe. Jembe piga kazi kwakwenda mbele uciludi nyuma kwamana kunawabunge wako majimboni mwao hawajui chakufanya. Na amini kuwa wewe ni mbunge pekee ambae unatambua utu wa sisi wapigakura wako .na ssi...
Back
Top Bottom