Ebwana hilosiotatizo nikawaida kwasababu siowewe tu kunademu nae yupo ivyo ivyo naye akiwa anafanya tendo anatokwa namaji mengi yani adianajisikia vibaya
Wewe Ilotatizo lakuumwa mgongo badala ya tendo kwakweli hilo ni tatizo nenda kamuonne doctor kwasababu awezi kufanya tendo alafumgongo huume ashauli wangu nenda hospital.
Wwwe unajikuta kama unajua kila kitu unajifanya kama ujaelewa kilichoandikwa basi powa kama unaona ujaelewa kilichoandikwa ucngechangia maada.Powa mwalimu walugha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.