Kichwa cha habari hakiendani na maelezo cjui tukusaidieje. Kichwa cha habari unataka kubadilishana kituo cha kazi, maelezo yako yanaonesha unataka kuhama kwenda sehemu uliyoipata.
Magufuli hana hekima angejifunza kwa Lowassa pamoja na kushambuliwa hata na JK yeye hakumjibu. Hata hvyo malipo hapa hapa duniani na JK alimshambulia Lowassa kwa hiyo asikasirike.
Kuna watu huwa wapo kwenye database ya Utumishi wanasubiri nafasi wapangiwe. Hawa ni wale ambao walifanya oral interview na hawakubahatika kuitwa kazini. Hivyo nafasi zikitoka hupelekwa.
Nawaomba wana CCM wezangu tunaemuunga mkono Lowassa kuwa hakuna kura yake itakayoibwa. Pia ule mpango wetu wa kuhakikisha anapata kura za kutosha toka kwa wana CCM unaendelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.