Maelezo mengi ya nini, ina maana kila siku huoni watu wanasema kuna ugonjwa wa macho umeingia na ukikupata uende hospital utapewa dawa?
Tatizo utakuta magroup yako ya whatsapp yote ni ya picha/video za utupu na ya kubet.
Sasa hapo mbona ipo wazi kabisa kwamba shida ni hela?
Nahitaji kiasi fulani tu kinisukume siku mbili tatu ndio maana nafanya hivi. Ningekuwa nina simu nyingine ya kutumia ningeweka bond ila ndio sina na pia mambo ya bond yana usumbufu wake kiaina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.