Recent content by john_thesmart

  1. J

    Phone4Sale Samsung Galaxy A14 imetumika mwezi tu

    HAYA BEI IMEPUNGUA, Njoo na 240,000. Pia napokea exchange nipe simu na hela
  2. J

    Phone4Sale Samsung Galaxy A14 imetumika mwezi tu

    duh...jamaa atarudi na matusi tena
  3. J

    Nimepata tatizo la macho toka jana

    Maelezo mengi ya nini, ina maana kila siku huoni watu wanasema kuna ugonjwa wa macho umeingia na ukikupata uende hospital utapewa dawa? Tatizo utakuta magroup yako ya whatsapp yote ni ya picha/video za utupu na ya kubet.
  4. J

    Phone4Sale Samsung Galaxy A14 imetumika mwezi tu

    Sasa hapo mbona ipo wazi kabisa kwamba shida ni hela? Nahitaji kiasi fulani tu kinisukume siku mbili tatu ndio maana nafanya hivi. Ningekuwa nina simu nyingine ya kutumia ningeweka bond ila ndio sina na pia mambo ya bond yana usumbufu wake kiaina.
  5. J

    Phone4Sale Samsung Galaxy A14 imetumika mwezi tu

    Hapana, hata 200 siuzi
  6. J

    Phone4Sale Samsung Galaxy A14 imetumika mwezi tu

    Okay watakuja wataalamu
  7. J

    Phone4Sale Samsung Galaxy A14 imetumika mwezi tu

    IMEUZWA
Back
Top Bottom