Kama deni lina'make sense ni sawa unalipa, sasa kuna mtu alikopa 15,000 tu anakuja kuambiwa alipe 43,500 ni sawa? Na point ya msingi ni uwepo wao kisheria na hiyo mandate ya kutukana watu na kusambaza taarifa mitandaoni ni sawa?
Mtu akiwa na shida haina maana mtu mwingine atumie hiyo kama...
Habari za kazi ndugu zangu.
Kuna kampuni mbalimbali zinazodai kutoa mikopo kupitia apps (applications), lakini matokeo yake zimekuwa zikilalamikiwa kwa kudhalilisha watu, kutoa vitisho, na kutoza riba kubwa kupita kiasi kwenye mikopo wanayotoa.
Sina uhakika kama kampuni hizi zote zimesajiliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.