Recent content by John Prand

  1. J

    'Lockdown' yapendekezwa nchini

    Kwa kweli, kwenye hii dunia ukimuona mtanzania yeyote kuwa nae makini sana. Kuanzia raisi kushuka mpaka kwa watu wa kawaida. Miaka 60 baada ya uhuru watu wanaiba, halafu unaambiwa tukachome haya machanjo na watu hawa hawa wanaoiba bila aibu? Kweli Mungu atusaidie kama Magufuli alivyotuambia...
  2. J

    Serikali itazame upya Sera za kuendesha uchumi na watu sahihi wa kuendesha uchumi

    Watu wanaoweza kuupeleka uchumi mbele ni kama ifuatavyo. 1. Serikali inawahujumu na kuwasema ni wezi ili kabila maarufu sana Tanzania kwa sababu wanajua na iko kwenye damu Yao namna ya kuanzisha na kuendeleza biashara. 2. Serikali ingewachukua hili kabila na kulichanganya na makabila mengine...
  3. J

    Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

    Aisee nyie Watanzania kwa kushirikiana na JWTZ chukueni nchi yenu. Hawa viongozi wa ccm na upinzani wachomwe moto na gesi ya mtwara live ikiinyoshwa tbc taifa. Nchi zote zilizoendelea viongozi wale wanaonafanana na hawa wa kwetu walipigwa risasi, kunyongwa hadharani. Ilisaidia sana kwa kuwaambia...
  4. J

    Babati: Jela miaka 30 kwa kukutwa na bangi gramu 566.9

    Nchi za Afrika sijui tumelogwa. Hivi unamfunga mwenzako kama mtumwa. Hizi ni sheria za kikoloni. Tumekua tunatumia haya majani kama dawa miaka mingi kabla ya ukoloni. Kweli watu weusi tumekosa maarifa. Tunaoneana kama wakoloni wslivyotufundisha.
  5. J

    Maaskofu wamuasa Rais Samia Suluhu kuhusu haki na ustawi

    Hao wanaojiita maaskofu ndio walipotufikisha hapa. Dini za wakoloni na bado wanatuambia tudharau asili yetu. badala waseme tuachane na hizo dini za wageni. Halafu wanavyojiita maaskofu waache na waje tujenge nchi. hamna kitu kutoka kwa hawa wakoloni weusi wenye kofia ya dini za kikoloni.
  6. J

    Dkt. Kitima: Baba Mtakatifu ametutaka tufuate ushauri wa Wanasayansi kuhusu ugunduzi wa chanjo

    Huyo padri wako mnafiki sana. Anataka kuuwa watu weusi. Unaambia adui wa mtu mweusi ni mtu mweusi. Hivi Magufuli(mzee mweusi) anasema hizo chanjo si salama. Kitime na huyo baba yake mtakatifu(mzee mweupe) wanasema tumwamini mzee mweupe. Mimi nitake my chances kwa kumsikiliza mzee...
  7. J

    Dkt. Kitima: Baba Mtakatifu ametutaka tufuate ushauri wa Wanasayansi kuhusu ugunduzi wa chanjo

    Hivi namuliza maswali huyu bw. Kitime: 1. Hawa wazungu wameshatuweka kwenye utumwa wa madeniiii makubwa sana. 2. Wameshatufanya watumwa kwa miaka mingi kwa kushirikiana na hilo kanisa katoliki. 3. Leo hii wamepata wapi huo upendo wa kutukinga na huo ugonjwa wao. ( Sisi ni nyungu na dini zetu...
  8. J

    Dalili za kanisa la Afrika kuelekea kwenye kujiua

    Hilo nilipewa nikiwa mdogo. Wakoloni waliktumia njia ya kutubadilisha majina yetu ya asili ambayo yana nguvu za asili. Mimi niko mbioni kubadilisha. Asante kwa kuliona hilo.
  9. J

    Dalili za kanisa la Afrika kuelekea kwenye kujiua

    Dini za wakoloni. Na huyo mwandishi anaendelea kusambaza dini za kikoloni. Atuambie ameshawahi kusaidia watanzania wangapi? Wapi? Amewajengea nyumba? Au na yeye anapiga debe. Apambane na hali yake.
  10. J

    Video: Freeman Mbowe ni miongoni mwa watu wachache wenye akili kubwa ambao Tanzania imebarikiwa kuwa nao , Asante Mungu kwa zawadi hii

    Sisi nyungu tuu. Acha wachanjane mpaka waone raha. Tanzania hatutaki chanjo. Tunatumia dawa za asili. Mbona mabeberu wanatulazimishia hawa machanjo. Yana nini? Mbona hatulazimishii teknologia???????? Hawa makuku meupe yana shida.
  11. J

    Tupo Watanzania tunaohitaji chanjo ya COVID-19

    Nendeni wenyewe mkapewe hiyo chanjo
  12. J

    Waraka: Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) latoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa Corona nchini

    Hizi dini za kuletewa bhana. Mbona hili kanisa halisaidii watu wenye kukosa kazi, chakula. Tuendelee na utamaduni wetu wa asili. Tule mimea yetu. Dawa za asili tuuu. Wao wale chanjo zao. Yule anayetuletea ajipige yeye. Tanzania hamna korona.
  13. J

    Kwaheri Wang Yi, Tanzania sasa tujifunze

    Misaada ni kitu hatari kutoka kwa hawa jamaa:
  14. J

    Profesa Kabudi: Tanzania inatamani sana Chato ifanane na majiji makubwa ya China ambayo awali yalikuwa ni vijiji vya wavuvi!

    Sahau kabisa hayo maendeleo ya kumuomba mabeberu. Tunajidanganya. Angalia hiyo video:
Back
Top Bottom