Bora hata swala la umeme kulikuwa na pressure iko nyuma yao na ina wezekana hawana hela ya ku-rescue hiyo situation na walijibu wakijua baadae watakabiliana na hali itakavyokuwa huko mbele. Sio hivyo tu wanaweza wakasema hata kuna break down imetokea tunajipanga kukabiliana na hii hali lakini...
Wangenyamaza kimya tu kungekuwa na tatizo gani? kwanini watoe tamko ambalo halitekelezeki, issue ni kwamba ni nini kilicho msukuma kutoa hilo tamkoooo.....
Hapa kuna kitu tatizo na sio dogo unawezaje ukatoa tamko kwenye vyombo vya habari alafu usilitekeleze na ukabaki kimya tu bila kukanusha. Jamani embu tutengeneze mfumo wa watu kuwajibikaa....
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa wale watu wa mamlaka ya mawasiliano walitangaza kuwa kuanzia tarehe 01/03/2013 gharama za kupiga simu kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine utakuwa sh 34/= kwa dakika. na waliendelea zaidi kwa kusema wataendelea na huu mchakato kuhakikisha hizi gharama zinashuka...
Hiyo hospital yenyewe haina Dactari hata mmoja mwenye degree na nina uhakika hili mtutura halijui aliye kuwepo kaondoka mganga mkuu wa wilaya ni dentist. Sitaki kuzungumzia chochote kuhusu progressive kampuni ya kujenga barabara tunduru namtumbo ambapo mweshimiwa rais kwenye hotuba yake ya...
Mheshimiwa sana ametangaza matokeo ya kidato cha nne 2012 kukiwa na kiwango kikubwa kabisa cha kufeli daraja la kwanza la pili na tatu ni 25% ya watahiniwa wote. Inamaanisha kwamba zaidi ya 60% ya wanawake na wanaume wa kitanzania wazaa watoto ni wenye akili sifuri. Waziri anakuja na majibu...
Kiongozi fikiria in three dimension sheikh amekuwa very specific "akiuwawa sheikh mjiratibu na nyie mumuuwe askofu au padri na sio kuchoma magari ya watu" Bila kufikiria aliemuuwa huyo sheikh ni nani hata kama ni police. Huu ni uchonganishi wa mchana kweupe na ndicho kilichotokea Zanzibar wewe...
Jamaniiii ehheeee kudeal na huyu ni matumizi mabaya ya akili zetu anaweza akaquestion ubora wa J J MNYIKA kitu ambacho ninauhakika hata ccm wenyewe wanataka vijana wenye uwezo kama Mnyika kwa ajili ya kupata mawazo mapya kwenye hii nchi thinking tank. Moja kati ya hotuba za kikwete ndani ya...
Huyu kashilila anathani ana akili kuliko watanzania wote, nathani kalewa pia madaraka, aache watanzania wapime wanataka wafanya fujo au wanaolala bungeni si ndio democrasia na anataka kuwaficha nini? watanzania :ohwell:
Mimi mwenzenu napata shida sana na watu kama hawa na kunisababishia maswali mengi sana..
1. Bunge kwao ni nini
2. Kazi za bunge ni nini?
3. Hicho wanachotaka tusikione bungeni ni ili nani akione?
4. Wanauchukuliaje uelewa na mtazamo wa watanzania kisiasa?
5. Ni kweli vile vinavyotokea bungeni...
Wewe nakufananisha na kiongozi mmoja alisema wanamtwara walikuwa sahihi kuandamana ili kujua maslahi yao kwenye gas kosa liko kwa wanasiasa waliowashauri kuandamane cjui kazi ya mwanasiaasa ni ninii? Walichofanya viongozi wa cdm nikuwapa raia number za simu za makinda na ndugai ambazo zipo...
Tumekubaliana tumeshirikiana tumependana tumeaminiana tumeoleana tumekuwawamoja tumeishi pamoja sasa wanatutenganisha wanatugawa wanatugombanisha jamani sisi ni wamoja tusikubali hili ..........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.