Kaka maswali yako ni ya msingi sana japo dhamira yako si kupata majibu ila Luna jambo kubwa nyuma ya maswali yako. Sitaweza kukujibu kwa swali moja moja ila nitatoa majibu ya jumla kisha ona mahala pa kuyaweka kulingana na mswali yako.Chadema ni chama cha siasa kama vilivyo vyama vingine vya...
Mh Mwigulu,ni wewe kweli ndiyo umeandika haya au kuna mtu ameingia kwa ID yako?pamoja na dharau zako za wazi kwa watu wenye elimu ya chini hasa wasio na degrees kama wewe lakini nakuhakikishia wasingeandika upuuzi wa namna hii.
Napata taabu sana wewe ni kiongozi kweli?au kuna wakati unafanya...
inawezekan waraka haukuwa na tatizo lolote na inawezekana pia ulikuwa na tatizo lakini siamini kama umeandikwa na chadema wenyewe,ndugu yangu hapo nyuma kidogo wapo waliojiapiza hadharani kuwa mwaka huu hautaisha kabla chadema hakijakufa,nini maana ya apizo lile?nani alijua litatekelezwa kwa...
Tangu kutokea kwa tukio hili mimi ni miongoni mwa wa watu tulioumizwa sana na hali hii,sijaumizwa kwa sababu ya kuvuliwa kwenu vyeo mlivyokuwa navyo ila ni hali ya siasa ya chama mlichokuwa mnakipenda sana.
Nini mwisho wa haya yote ukizingatia kuwa wa Tanzania tulio wengi ni watu wa kuendeshwa...
kama nimeeleweka vema sikumkataza lema kumkosoa zitto,akiweza hata kumpinga ila afuate taratibu za kukosoana pia ni vema afahamu kuwa zitto ni kiongozi wake ndani ya chama,pia kwa wale wanaoona usahihi wa aina hii ya malumbano niliwauliza swali kuwa kwa mgogoro huu tumepata wanachama wangapi?
Migogoro migogoro migogoro,kuchafuana kuchafuana kuchafuana,siku za mwanzo nilipokuwa nasikia habari hizi kuwa Chadema yangu kuna migogoro na mitifuano ya ndani kwa ndani sikutaka kuruhusu moyo wangu kuyaamini haya nilijua ni maneno tu ya maadui wetu kisiasa,nikili wazi kuwa nilikuwa...
Nimeangalia taarifa ya habari kutoka kituo cha itv usiku huu,nimesikitishwa na kushangazwa sana na taarifa ya kufuzwa kwa madiwani 8 huko Bukoba.kinachoonekana ni kwa kwamba kila anayechukizwa na wizi wa pesa za inchi hii ni adui mkubwa wa CCM,wametetea kuliwa kwa mamilioni ya pesa za wananchi...
Inawezekana unafanya mzaha kutuma thread ya namna hii ila naomba nikujuze kwamba Inchi hii imefika hapa ilipo kwa watu wnye mizaha kama wewe,huu udini mnouhubiri ni jambo la hatari sana sijui kwa nini hamsutwi na nafsi zenu.ndugu yangu Mungu hakukosea kukupa dhamira itumie ipasavyo.
Kwa mambo yanatokea hapa nchini ni wazi kuwa ukombozi hauko mbali sana,ni wazi pia watawala wamechoka na wamekata tamaa kabisa,ukitafakari kauli zao neno kwa neno utagundua ninachokisema,inashangaza sana kusikia hata mkuu wa nchi akilalama tena kwa huzuni kabisa juu amani na kutaja kwa ujmla tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.