Recent content by john doe1

  1. john doe1

    Je, Ndoa ni Jela ya Wanaume? Je, walioko ndani wanatamani kutoka?

    bro kwenye pati ya mikazo kaweka mpaka vifungu vya kibiblia kwingne katoa mawazo yake tu😁😁😁
  2. john doe1

    Je, Ndoa ni Jela ya Wanaume? Je, walioko ndani wanatamani kutoka?

    mshua kaweka vitu viwil kwa sentens moja Ndoa na Familia Familia sio Ndoa unaweza kua na familia na usiwe na Ndoq Ndoa ni muunganiko wa hiari kati ya mtu Me na mtu Ke
  3. john doe1

    Alikataa kila kitu kwa hiari yake… miaka 4 baadaye anarudi Mahakamani kuidai alichokataa.. Nautua mzigo

    unasema de unasema depend na mwanaume then unasema sheria zina mfava mwanamke heheheh
  4. john doe1

    Mbona wa zamani walikuwa wanalia kwenye tendo? Hawa wa sasa wanachezea simu tu. Nini kimebadilika?

    fanya sana mazoez kaka kula vizur kunywa maji mengi ukishindwa katumie vumbi
  5. john doe1

    PreGE2025 Tumekuwa a Failed State. Kila kitu kimekamatwa na Dola ya Chama. Si Mahakama, Si vyama vya Siasa, Si Majeshi, si Taasisi za Dini, Si Katiba

    nataman kila mtu akaitafute movie ya V for Vendetta hope watajua nafas yao kama raia na jins gavament zinavyo fanya kazi
  6. john doe1

    Ni wazi Watanzania wote wameanza kuwaelewa Chadema, TEC na wengineo

    nin kimetokea unatoa taarifa nusu nusu
Back
Top Bottom