Recent content by John Aseri

  1. J

    Karibuni wageni wote jamiiforums.

    hodiiiiiiiiiiiiiiiii!
  2. J

    Wasabato ujumbe wenu huu hapa

    Hapo ndugu yangu umepotea ! Sabato ni ishara kati ya Mungu na Mwanadamu. Mwenyezi Mungu mwenyewe aliitunza SABATO. Ww inakuaje unatuhukumu. Hata huyo roho Mtakatifu ambaye unae bila kuitunza SABATO ni bure. Ubarikiwe mtumishi.
  3. J

    Wasabato ujumbe wenu huu hapa

    Sabato ndio ukweli ulipo !atakayesikia na asikie ; atakaye elewa na aelewe ujumbe huu. Nadhani ndugu zangu wa dini zote mmenielewa wa dini zote na madhehebu yote.
  4. J

    Unakumbuka nini siku ulipoanza darasa la kwanza?

    Mimi nakumbuka nilijikojolea mstarini
Back
Top Bottom