Ni kura ya maoni ndani ya CHADEMA iliyofanyika Jana ktk jimbo jipya La Mbulu Vijijini 20/7/2015
MICHAEL AWEDA 163
AMANI G. 120
sasa tunasubiri uamuzi wa kamati kuuu
Dr.Slaa nyumbani kwake kwa sasa ni kijiji cha ayalabe iko kaskazini mwa mji wa karatu pia yuko kwenye kata inayoongozwa na diwani wa chadema ndg Massay ambae pia ni mwenyekiti wa halmashauri ya KARATU. hiyo shule iliyoonyeshwa iko mbali sana iko mpakani mwa wilaya karatu na shinyanga iko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.