Wakuu habari za mida?
Mzee wangu anataka kufungua pharmacy tulikuwa tuna omba kujua utaribu wa kufungua pharmacy ! Pia gharama za kumlipa pharmasia kwa mwezi kwajili ya kuweka leseni yake dukani my no 0719656063
Asante Sana kaka kuhusu gharama za chakula ,maladhi, bima ni juu ya muajiri wangu mkuu ndio nasubiri mkataba nisome vizuri then nichukue mamuzi ila mpaka Sasa Kaka nadaiwa na bank More than 7 million
Wakuu poleni na majukumu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32, nimepambana sana bongo nikafanikiwa kujenga kibanda na kununua gari ndogo Mambo yalikuwa vizuri lakini baada ya Samia kuingia madarakani ndipo Mambo yalipoanza kuharibika.
Nilivunjiwa vibanda vyangu vya tigo pesa, m pesa, yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.