Recent content by Johary Manase

  1. Johary Manase

    Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

    Huyo mwanamke hakupendi ,hakuheshimu na haoni hasara kukupoteza .Just move on for your own peace of mind..
  2. Johary Manase

    Special thread: Missing someone with special memories in your life

    Unaona yana mapungufu kwa sababu unalinganisha na hilo la zamani kumbuka kila kitu kinatokea kwa sababu. Huwezi kupata furaha kama hutajipa nafasi ya kupona, kusahau yaliyopita na kujipa nafasi ya kupenda tena..
  3. Johary Manase

    Tabia ya mke wangu siipendi ila hataki kuiacha

    Akiwa anaanika azifunike na khanga au mtandio mzito kwa juu..
  4. Johary Manase

    Ombi la kutafuta kazi

    Habari zenu, Naitwa Mary Emanuel Sumari ninaishi Mwanza na nmemaliza chuo kikuu cha SAUT Mwanza 2021 fani ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma. Nina uhitaji wa kazi yoyote halali. Kwa yoyote atakayenisaidia nitashukuru sana. Barua pepe yangu ni marysumari2@gmail.com
Back
Top Bottom