Unaona yana mapungufu kwa sababu unalinganisha na hilo la zamani kumbuka kila kitu kinatokea kwa sababu.
Huwezi kupata furaha kama hutajipa nafasi ya kupona, kusahau yaliyopita na kujipa nafasi ya kupenda tena..
Habari zenu,
Naitwa Mary Emanuel Sumari ninaishi Mwanza na nmemaliza chuo kikuu cha SAUT Mwanza 2021 fani ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma.
Nina uhitaji wa kazi yoyote halali. Kwa yoyote atakayenisaidia nitashukuru sana.
Barua pepe yangu ni marysumari2@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.