Recent content by Joh30

  1. J

    Rupia ya Mjerumani: Ni kweli sarafu hii ina thamani kubwa au ni story tu?

    Hii Haina uthamani wowote ni ya uzushi..Ingekuwa rupia Nyekundu ya simba wawili au Rupia ya kitumbua au Funfumark hapo sawa.
  2. J

    Rupia ya Mjerumani: Ni kweli sarafu hii ina thamani kubwa au ni story tu?

    Tatizo una elimu ndogo kwenye hii field ndiyo maana unapinga kila kitu.
  3. J

    Rupia ya Mjerumani: Ni kweli sarafu hii ina thamani kubwa au ni story tu?

    Inawezakuwa na Masharti ya Maisha na inaweza isiwe na hayo Mashart ya matumizi na kwenye Masharti hutokea sana kwa awale wanao Batua hizo Rupia na siyo kila unayioona kuwa ni rupia Basi Kuwa ni deal.sarafu za kudeal nazo zenye uhakika ni Fanfumark,Rupia Nyekundu ya simba wawili,Rupia ya Kitumbua...
  4. J

    Rupia ya Mjerumani: Ni kweli sarafu hii ina thamani kubwa au ni story tu?

    At least una ka Idea kuhusu hii kitu ambayo ni sawa na Mega Busness.
  5. J

    Naomba kujua soko la Rupia ya Mjerumani na bei yake!

    Hahahaha watafutaji wasiojua wanachokitafuta huwa mara nyingi wananifurahisha sana.... Una deal na Mali ya Mjerumani Halafu unasema una soko?...vile vitu Haviuzwi bali wanaokusanya wanawapa waliokuwa navyo sadaka tu na ile siyo Biashara.
  6. J

    Biashara ya maji ya Mecury

    sidhani kwa ninao ongelea mimi kama ni hao uliokutana nao wewe ndani ya Hotel
  7. J

    Biashara ya maji ya Mecury

    Ipo moja tu Mzee kenya hakuna kampuni wale wanatumia mpaka mawakili ambao ni matapeli tumzee nimepita huko,hiyo kuingiziwa pesa benk na kuzuiliwa issue ni kuwa hao walioingiza hela hawana vibali vya biashara hiyao ndani ya taifa nakusaidia kitu kwenye inbox yako
  8. J

    Biashara ya maji ya Mecury

    Ushauri tumia kampumi ya ndani yenye kibali wale watokao nje huwa hawalipi kodi maana wanakuja na tourist visa na siyo bussness na hapo kuna hatari ya kulipwa hela fake. Na kama hawalipi kodi basi pesa ikiingia kwenyw account inazuiliwa na hawawezi kulipa kodi hawana vibali kufanya biashara...
  9. J

    Biashara ya maji ya Mecury

    shiad siyo Biashara shida hapo ni yeye kutokuwa na uelewa sahihi nakile alichoambiwa. Red na Black ndiyo hupatikana sana lakini nyingine hazisemwi kwa kuwa ni isssue sana hata Kuipata na huwa dau lake lipo Juu zaidi. Kuwepo ipo ila siyo rahisi kama wengi wafikiriavyo na ina kazi nyingi sana...
  10. J

    Biashara ya maji ya Mecury

    Hakuna mecury inayotiririka yenye kipimo cha kg bali tuna gm
  11. J

    Biashara ya maji ya Mecury

    Karibu Mkuu kama unauhakika unayo
Back
Top Bottom