Wako poa sana mbona na mm Binafsi hata Hoja zao ndo ilkuwa concern yangu ya msingi. Alafu kitu Kingine mtu aloongea kiswahili kwa muda mrefu akiswitch ghafla lazima apate tabu sana kutokana na mazoea lakn wako poa sana
Tulia ww jenga hoja zilizo rational umaarufua wa tifah uwez useparate na baba yake maana ht huo umaarufu kaupata coz ya baba yake na anapoharibu baba lazima dogo aporomoke
Na ww kubal ni mfuasi wake....ila usisahau uzi ukija au ikibandikwa huki kwa great thinkers lazima tutoe viewz zeti reagardless of what so usitembelee saaana mawazo yangu toa yako kwann imaarufu wa dogo umeshuka au sema km haujashuka sema pia
Huo ndo uhalisia D sifa zitampoteza me ni fani ake since way back bt cku hiz ht instagram naona ananichefua interview anaongea utumbo mtu anaekuja juu ni harmonize yuko humble diamond km more of muswahil cku hiz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.