Recent content by JOH CARLOS

  1. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji soil stabilizer machine ya kukodi – Dar es Salaam

    NAHITAJI SOIL STABILIZER MACHINE YA KUKODI – DAR ES SALAAM Habari wana JamiiForums, Natafuta Soil Stabilizer Machine / Recycler ya kukodi kwa ajili ya kazi ya road construction/soil stabilization, preferably Wirtgen WR series au machine yenye uwezo unaofanana. 📍 Location: Dar es Salaam 🔧...
  2. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Habari kwa wafanyabiashara na ma-contractors!

    Sisi ni GIFTECH CO. LTD, kampuni ya ujenzi na ukandarasi iliyosajiliwa kisheria. Pamoja na shughuli zetu za ujenzi, tunatoa pia huduma ya kitaalamu ya kuandaa nyaraka (documents) na kujaza zabuni (Tenders) kwenye mfumo wa NeST. Kwa sababu sisi wenyewe ni wakandarasi, tuna uzoefu wa ndani na wa...
  3. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Habari kwa wafanyabiashara na ma-contractors!

    Je, unatafuta namna ya kuomba zabuni za serikali na taasisi mbalimbali kupitia mfumo wa NeST bila makosa? Usipoteze fursa ya kushinda tender kwa sababu ya makosa madogo ya kimfumo au upungufu wa nyaraka. Sisi tunakuhakikishia huduma bora ya: Kuandaa Documents Zote: Tunasaidie kuandaa nyaraka...
  4. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Habari kwa wafanyabiashara na ma-contractors!

    Je, unatafuta namna ya kuomba zabuni za serikali na taasisi mbalimbali kupitia mfumo wa NeST bila makosa? Usipoteze fursa ya kushinda tender kwa sababu ya makosa madogo ya kimfumo au upungufu wa nyaraka. Sisi tunakuhakikishia huduma bora ya: Kuandaa Documents Zote: Tunasaidie kuandaa nyaraka...
  5. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale iphone X inauzwa Dar es salaam goba

    😅😅😅260,000 tuu
  6. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale iphone X inauzwa Dar es salaam goba

    habari, nauza simu yangu ,iphone x yenye specs zifuatazo 64gb camera kali sana battery health 77 true tome ipo officiall iphone
  7. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Concrete mixer inahitajika

    vp umefanikiwa??
  8. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    iphone Xr 64gb bh 86. 480k tuu karibu
  9. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama ya vifaa hivi kwenye madirisha ya alluminium

    Naomba kujua bei ya:- Wavu Fesna lock Riveti Rubber
  10. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    HISENSE 32" -285,000
  11. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Tatizo lolote la PC/device

    karibu ofisin kwangu tabata nikutatulie tatizo, au naweza fika ulipo gharama ni kidogo sana
  12. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa 'vitu used'

    HISENSE 32" -285,000
  13. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale NAUZA IPHONE 7 + ..128GB

    nauza simu yangu kwa Tsh 400,000 128Gb battery health 100% fingerprint [emoji736] ipo mabibo dsm tazama picha chini
  14. JOH CARLOS

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza processor intel core i5 - 3570 ya desktop

    ivi laptop inawezekana ku upgrade
Back
Top Bottom